Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 269,606
- 696,720
Tutake radhi la sivyo....!!!Wasambaaa wanaume wengi wao malaya sana tena sana narudia kwa herufi kubwa MALAYA SANA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tutake radhi la sivyo....!!!Wasambaaa wanaume wengi wao malaya sana tena sana narudia kwa herufi kubwa MALAYA SANA
Asipokutaka radhi mpeleke nyamisati kwa rasTutake radhi la sivyo....!!!
Asipokutaka radhi mpeleke nyamisati kwa ras
Ukipata msambaa umepata mke na nusu. Kifupi wanawake wa tanga wamebarikiwa.
BupaHebu funguka zaidi Mkuu hapo kwenye rangi.
Wabeba Mizigo Kko na bandariniHuwaga nasikia ati wasambaa wana jua sana yale mambo yetu yaleee hivi ni kweli??Pia nasikia wanajua sana kulea wanaume na kupiga hapo ndio kabisa.Naomba kuwafahamu hawa watu
nskia pia wapo maeneo ya bumbuli,mpalalu,mbelei,mbuzii,kwehangara,mponde,kwang'wenda,Lwandai,hambali,kigulunde,kwemzue,nyasa,Shashui,vuga,kwadoe,mavuluiwanapatikana sana wilayani Lushoto, kuanzia maeneo ya Soni, kongei, lushoto mjini, lukozi, mtae, mlalo, ngwelo, mlola.
Hebu funguka zaidi Mkuu hapo kwenye rangi.
Bupa
Katika ubora wako mkuuUkifanikiwa kuopoa binti wa kisambaa jua umeopoa almasi mchangani
Ni wacha Mungu
Ni wakweli
Ni waaminifu
Ni wasafi
Ni wasiri
Wanajua kupenda
Wana jua kupika
Ni wataalam wa tiba mbadala
Wanajua bajeti nk nk
Nimefurahi kuwa wasambaa tupo wengi ndani ya jf.Zumbe atagolwe wandughu.
Uzuri wa umbo, sura, tabia na kwenye mambo yetu mashallah.
hahahahahhhaaa.. unatuonelea mshana
Tamtogoa zumbeOngamshi waghoshi na wavyee
Wasambaaa wanaume wengi wao malaya sana tena sana narudia kwa herufi kubwa MALAYA SANA