Hivi wasambaa wana sifa gani??

Dear hujakosea hata kidogo... To add it up ni wachapa kazi sana huwa hawachagui Job.. Niliwajua hawa watu as wapangaji wetu when I grew up ..( I lived with them in the same house ). And one of my relative married in this tribe .. Very nice people ... Thanks..
Why you didn't do that?
 
Wapole wacheshi wapend watu hawana roho mbaya hawana tamaa wachapa kazi wavumilivu wasikivu hawapend makubwa wanaridhika na walichonacho na wana heshima ya hali ya juu ngoja niishie hapo
Hawa watu mnavyowasifia nahisi kuvuyiwa nao. Ila mi mbona nasikia hawa watu wa Tanga wana mambo ya ushirikina. Ni baadhi ta makabila au hata na hawa wamo.
 
Wanawake wakisambaa ni wife materials, wanaheshimu mume, wanajua kufanya bajeti ya familia,pia wavumilivu sana.

Wanaume wanasifa ya ukicheche lakini ni wachapakazi sana.

ANGALIZO: Kabila lingine hasa kutoka bara (wao wanatuita Wanyika) ukienda kuoa / kuolewa huko jiandae kupigwa Zongo
Nafikiri we unawaelewa vizuri!
 
TE="ukhuty, post: 18876135, member: 392029"]Nakupenda sana mtoto, hebu njoo PM kwanza tupange future. Uko tayari kuwa mchepuko lakini? I mean kama mke wa pili. Nitakujali kuliko unavyodhani![/QUOTE]
[/QUOTE]
Niko serious!
 
mshana jr, post: 18877407, member: 98741"]Nakupenda sana mtoto, hebu njoo PM kwanza tupange future. Uko tayari kuwa mchepuko lakini? I mean kama mke wa pili. Nitakujali kuliko unavyodhani![/QUOTE]
[/QUOTE]
Unacheka mkuu? It sounds funny lakini niko serious, mtoto nimempenda. Everything about her makes my hear skip a beat, the way she talks, alivyo proud na her origin, points n.k mimi nazimia huku.
Hebu mweleweshe tafadhali, niko tayari kuingia mazima, I mean Im in for the long haul. Watoto kama huyu ni adimu sana, I don't want to waste this chance kwa kweli.
 
mshana jr, post: 18877407, member: 98741"]Nakupenda sana mtoto, hebu njoo PM kwanza tupange future. Uko tayari kuwa mchepuko lakini? I mean kama mke wa pili. Nitakujali kuliko unavyodhani!
[/QUOTE]
Unacheka mkuu? It sounds funny lakini niko serious, mtoto nimempenda. Everything about her makes my hear skip a beat, the way she talks, alivyo proud na her origin, points n.k mimi nazimia huku.
Hebu mweleweshe tafadhali, niko tayari kuingia mazima, I mean Im in for the long haul. Watoto kama huyu ni adimu sana, I don't want to waste this chance kwa kweli.[/QUOTE]
tafuta nywele za kwapa za simba jike aliyetoka kujifungua nikufanyie mambo
 
Unacheka mkuu? It sounds funny lakini niko serious, mtoto nimempenda. Everything about her makes my hear skip a beat, the way she talks, alivyo proud na her origin, points n.k mimi nazimia huku.
Hebu mweleweshe tafadhali, niko tayari kuingia mazima, I mean Im in for the long haul. Watoto kama huyu ni adimu sana, I don't want to waste this chance kwa kweli.[/QUOTE]
tafuta nywele za kwapa za simba jike aliyetoka kujifungua nikufanyie mambo[/QUOTE]
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom