Hivi wapo wapi siku hizi wanawake wenye sifa hizi?

POLE AISEE!
ILA MI NNAJUA WALIKOENDA HAO WANAWAKE UNAOWAULIZIA.
KIMSINGI WAMEENDA WALIKOENDA WANAUME HAWA ;
1.Waliofeel proud kutunza wake zao.

2. Waliowajibika kusomesha watoto wao.

3.Waliokuwa wakitafsiri ubaba wao kwa majukumu sio kupiga picha za insta.

4.Wanaojihisi wamekamilika kwa kujali welfare za familia zao.

5.Waliohakikisha wanahangaika kubuni miradi au kuwa watendaji kazi bora kwa manufaaa ya familia zao.

6. Walio kuwa wakivaa suruali zisizobana kende.

7. Waliokuwa wanajua UANAMUME kwanza ni kuwa na boma zao kwanza kabla ya kumiliki vitz.

8. Waliokuwa na misimamo ya binafsi juu ya familia na wake zao.

9. Waliokuwa wanazaa nje ila wanahakikisha watoto wanakuja siku ya kuzikwa kwao tena wanakuja ili tu mjue wapi sio mgombee nyumba maana mama zao pia waliachwa na misimamo yao.

10. Waliokuwa wanakunywa chai na mihogo asubuhi na ugali na mboga ya karanga usiku

11. Waliokuwa wanashiriki kuchimba makaburi iwapo mwenza wao amefariki.

12. Waliokuwa wanachepuka lakini hawaogi kwa mahawara wanaenda kuoga na kula kwa wake zao.

13. Waliokuwa wanaitwa shuleni kwa watoto wao na kukuta kosa kasha kuitwa kundi Zima kasha kuliadhibu mbele ya assembly.

14. Waliokuwa wanakunywa chai au kahawa usiku.

15. Waliokuwa kabla ya kulala wanazunguka nyumba zao kuhakikisha usalama na wao kuwa wa mwisho kuzima taa au vibatari.

16. Waliokuwa wanaendesha magari manual.

IF AT ALL MWANAUME UNA ANY OF SEVEN IF NOT FIVE OF THE MENTIONED TRAITS!
THEN YOU HAVE AN AUDACITY YA KUDAI HUYO MWANAMKE UNAYEMUULIZA ALIKOENDA!
kama huna, KULA NGUMU ASEE!
maisha yamebadilika kote tu!
Tusifanyiane hivyo!
KAMA HAUPO KAMA ALIVYOKUWA BABANGU/BABAKO ,HUNA MAMLAKA YA KUNIDAI NIWE KAMA MAMANGU/MAMAKO.
 
POLE AISEE!
ILA MI NNAJUA WALIKOENDA HAO WANAWAKE UNAOWAULIZIA.
KIMSINGI WAMEENDA WALIKOENDA WANAUME HAWA ;
1.Waliofeel proud kutunza wake zao.

2. Waliowajibika kusomesha watoto wao.

3.Waliokuwa wakitafsiri ubaba wao kwa majukumu sio kupiga picha za insta.

4.Wanaojihisi wamekamilika kwa kujali welfare za familia zao.

5.Waliohakikisha wanahangaika kubuni miradi au kuwa watendaji kazi bora kwa manufaaa ya familia zao.

6. Walio kuwa wakivaa suruali zisizobana kende.

7. Waliokuwa wanajua UANAMUME kwanza ni kuwa na boma zao kwanza kabla ya kumiliki vitz.

8. Waliokuwa na misimamo ya binafsi juu ya familia na wake zao.

9. Waliokuwa wanazaa nje ila wanahakikisha watoto wanakuja siku ya kuzikwa kwao tena wanakuja ili tu mjue wapi sio mgombee nyumba maana mama zao pia waliachwa na misimamo yao.

10. Waliokuwa wanakunywa chai na mihogo asubuhi na ugali na mboga ya karanga usiku

11. Waliokuwa wanashiriki kuchimba makaburi iwapo mwenza wao amefariki.

12. Waliokuwa wanachepuka lakini hawaogi kwa mahawara wanaenda kuoga na kula kwa wake zao.

13. Waliokuwa wanaitwa shuleni kwa watoto wao na kukuta kosa kasha kuitwa kundi Zima kasha kuliadhibu mbele ya assembly.

14. Waliokuwa wanakunywa chai au kahawa usiku.

15. Waliokuwa kabla ya kulala wanazunguka nyumba zao kuhakikisha usalama na wao kuwa wa mwisho kuzima taa au vibatari.

16. Waliokuwa wanaendesha magari manual.

IF AT ALL MWANAUME UNA ANY OF SEVEN IF NOT FIVE OF THE MENTIONED TRAITS!
THEN YOU HAVE AN AUDACITY YA KUDAI HUYO MWANAMKE UNAYEMUULIZA ALIKOENDA!
kama huna, KULA NGUMU ASEE!
maisha yamebadilika kote tu!
Tusifanyiane hivyo!
KAMA HAUPO KAMA ALIVYOKUWA BABANGU/BABAKO ,HUNA MAMLAKA YA KUNIDAI NIWE KAMA MAMANGU/MAMAKO.
ni barua ya kuomba kazi TRA, maana si kwa mporomoko huo wa maneno, na si kwa kukoreza huko wino!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
POLE AISEE!
ILA MI NNAJUA WALIKOENDA HAO WANAWAKE UNAOWAULIZIA.
KIMSINGI WAMEENDA WALIKOENDA WANAUME HAWA ;
1.Waliofeel proud kutunza wake zao.

2. Waliowajibika kusomesha watoto wao.

3.Waliokuwa wakitafsiri ubaba wao kwa majukumu sio kupiga picha za insta.

4.Wanaojihisi wamekamilika kwa kujali welfare za familia zao.

5.Waliohakikisha wanahangaika kubuni miradi au kuwa watendaji kazi bora kwa manufaaa ya familia zao.

6. Walio kuwa wakivaa suruali zisizobana kende.

7. Waliokuwa wanajua UANAMUME kwanza ni kuwa na boma zao kwanza kabla ya kumiliki vitz.

8. Waliokuwa na misimamo ya binafsi juu ya familia na wake zao.

9. Waliokuwa wanazaa nje ila wanahakikisha watoto wanakuja siku ya kuzikwa kwao tena wanakuja ili tu mjue wapi sio mgombee nyumba maana mama zao pia waliachwa na misimamo yao.

10. Waliokuwa wanakunywa chai na mihogo asubuhi na ugali na mboga ya karanga usiku

11. Waliokuwa wanashiriki kuchimba makaburi iwapo mwenza wao amefariki.

12. Waliokuwa wanachepuka lakini hawaogi kwa mahawara wanaenda kuoga na kula kwa wake zao.

13. Waliokuwa wanaitwa shuleni kwa watoto wao na kukuta kosa kasha kuitwa kundi Zima kasha kuliadhibu mbele ya assembly.

14. Waliokuwa wanakunywa chai au kahawa usiku.

15. Waliokuwa kabla ya kulala wanazunguka nyumba zao kuhakikisha usalama na wao kuwa wa mwisho kuzima taa au vibatari.

16. Waliokuwa wanaendesha magari manual.

IF AT ALL MWANAUME UNA ANY OF SEVEN IF NOT FIVE OF THE MENTIONED TRAITS!
THEN YOU HAVE AN AUDACITY YA KUDAI HUYO MWANAMKE UNAYEMUULIZA ALIKOENDA!
kama huna, KULA NGUMU ASEE!
maisha yamebadilika kote tu!
Tusifanyiane hivyo!
KAMA HAUPO KAMA ALIVYOKUWA BABANGU/BABAKO ,HUNA MAMLAKA YA KUNIDAI NIWE KAMA MAMANGU/MAMAKO.
Umempa za uso.....!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kila ninapokua na pesa huwa sikosi mdada wa kunifanyia hayo yote, kasoro namba 10 tu,matatizo yangu huwa napambana nayo mwenyewe!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom