Hivi wapinzani kweli wapo serious kuchukua nchi 2020 au wanafanya maigizo ya kisiasa ?

Kifaru86

JF-Expert Member
Apr 22, 2017
1,734
3,802
Ikiwa tumebakiza miaka mitatu kufanyika uchaguzi mkuu 2020. .....

Hadi sasa sijaona maandalizi wala dalili zozote kuwa upinzani 2020 tutachukua nchi.........

Nazungumza hivyo kutokana wapinzani naona wako bizee

1.Kumsakama lipumba.

2.Wako bize kumuandamana bashite na wengine kumfungulia kufungulia kesi

3.Wako bize kuikosoa serikali

4.Wengine wako bize kumfatilia na kumsikiliza yule mdada wa instagram amepost nini...........

Wakati sisi tupo bize kumjadili bashite,mangi n.K
Wenzetu kenya wapinzani waliamua kupigania katiba mpya na tume huru .

Sio kenya tuu hata wenzetu zambia,congo,rwanda, ug wapinzani walipigania tume kwanza mengine baadaye.

Lakini hoja za wananchi kama vile ajira, maisha bora upinzani wameshidwa kujadili wanatuletea issue za bashite, sijui vyeti mimi sijaona kitu cha maana.

Hivi wapinzani wa nchi wapo serious kuchukua nchi 2020 .

Hivi kwanini wasiige mfano kama Kenya,Congo, Rwanda walipoamua kuipigania katiba kwanza na tume huru na kijadili hoja za wananchi

Hivi ni kweli upinzani wapo serious wanataka nchi 2020 au wanafanya maigizo kisiasa ????

Haya mambo yanawavunja mioyo wananchi
 
Andika kwa herufi kubwa na ndogo kwanza utuonyeshe unajua kuandika kabla ya kuingilia hoja nzito za siasa.

Ama sivyo tutajuaje kwamba unaelewa hata kuandika?
 
Wameishiwa pumzi..Kosa walilokosea 2015 ni kumuweka Lowasa na huo ndio ukweli ila hawataki kukubali
 
Sasa hivi ni kama siafu waliovurugwa na kutawanyika huku na kule kutafuta chochote wang'ate. Hakuna maono wala mwelekeo
 
  • Thanks
Reactions: nao
HAWAPO SERIOUS NA NI FAIDA KWAKO NA CHAMA CHENU. SASA UNAHOJI ILI IWEJE?
 
Wananchi mlishavunjika mioyo siku nyingi sanaaa....msisingizie upinzani.
 
Unataka wafanyeje kama mikutano ya hadhara imepigwa marufuku?
 
Andika kwa herufi kubwa na ndogo kwanza utuonyeshe unajua kuandika kabla ya kuingilia hoja nzito za siasa.

Ama sivyo tutajuaje kwamba unaelewa hata kuandika?
Mkuu naombeni mnisamehe ila nimeandika kwa uchungu kwa sababu nikiangalia upinzani nazidi kuvunjika moyo mpaka roho inaniuma
 
Uwezi kuuliza swali km hilo kwenye jamii ya watu 68% mbumbumbu ..hiyo asilimia ya hao watu hapo wakijielewa hapo ndio upinzani unaweza kuchukua nchi , Maana kuna majitu Tanzania mpaka yanitia hasira kwa kutojitambua au kutotambua haki zao za msingi katika mfumo wa vyama vingi. Kuna mijitu bado inaamini upinzani ukiingia madarakani itatokea vita . Wengine Wa naamini buku 7 wakiongwa basi ndio hakuna tena shida za baadae,unafki, uoga, ujinga,elimu duni, hivi ni vitu hatari sana katika Demokrasia ya vyama vingi. Hivyo kazi yako wewe na mimi ni kila siku tujitahidi kuwabadilisha na kuwapa somo hao mbumbumbu , nini Maana ya mfumo wa vyama vingi,? Hili wakae waelewe mfumo huo ni mojawapo ya juhudi za kueleta maendeleo na ushindani katika nchi hili kusonga mbele kimaendeleo.
 
Mimi nina mashaka wewe umechomoka toka lumumba,hili andiko mmh ! .wasi ibe kura,tume iwe huru,wasiwatumie lubuva na jecha,waruhusu katiba mpya,waruhusu ulinzi wa kura,wasitumie polisi na magari ya washawasha,wasipige wapinzani,kuwatisha na zombie,wahesabu kura zao na wapinzani wahesabu za kwao, wasisambaratishe kampeni za wapinzani na kuwakamata,waonevumbi lake ! Kama nchi haijawatoka kabla hakujacha.UN, wanawafukuza kwa nini?wanataka kuficha nini ? Ndio maana wanaongea Haya kwakua wanajua wamesha anza maandalizi ya kuondoa UN,na mengine yanafuatia.
 
Back
Top Bottom