Lukolo
JF-Expert Member
- Dec 2, 2009
- 5,143
- 3,196
Kwa takwimu zilizomo katika gazeti la mwananchi, inaonyesha kwamba waliopiga kura jumla yao ni 20,445,725. NEC ilisema wapiga kura walikuwa ni 19+ milioni. sasa hii milioni nyingine imetoka wapi? Hapa na mimi sasa nachoka. Angalia link hii Mwananchi Election Editions
Makadirio/Wapigaji 20,445,725
P. Mziray 65,276
J. Kikwete 3,544,673
W. Slaa 1, 234,254
I. Lipumba 589,451
H. Rungwe 13,809
F. Dovutwa 6,607
Zilizoharibika 144,501
Zilizopigwa 5,608,303
Asilimia waliopiga 27
Makadirio/Wapigaji 20,445,725
P. Mziray 65,276
J. Kikwete 3,544,673
W. Slaa 1, 234,254
I. Lipumba 589,451
H. Rungwe 13,809
F. Dovutwa 6,607
Zilizoharibika 144,501
Zilizopigwa 5,608,303
Asilimia waliopiga 27