Hivi wanyonge kwanini mnautukuza umaskini?

singojr

JF-Expert Member
Oct 28, 2014
5,307
6,883
Awamu ya tano watu walifurahi kuitwa wanyonge kuitwa watu wa hali ya chini, hohehahe na walala hoi.

Wakajengewa roho za kimaskini za kumchukia kila mwenye nacho. Kila ukitoa pesa wanaziona ni zao umewaibia. Waliaminishwa kuwa hii nchi ni ya maskini tu na tajiri yeyote ataishi kama shetani.

Swali kubwa ninalo wauliza wanyonge kwa miaka mitano ya kiongozi wa wanyonge mbona hatuoni hata wamachinga waliokua kutoka umachinga hadi kumiliki maduka?

Mtu kwa miaka mitano unapanga barabara chini pembezoni mwa barabara, mtaji haujaongezeka upo pale pale umedumaa. Humuoni aliyekudumaza unamshangilia kisa tu kakubali uendelee kuishi katika hali ile.

Wakati wamachinga wamefukuzwa wengi wakahamia kwenye frame wakaanza kufanya biashara zao kwa umakini zaidi.

Sasa ni yupi anayewatoa kwenye umaskini anayeutukuza na kuwaacha mdumu nao au anayewaonyesha mlipo sipo hameni haraka kwa namna yoyote?
 
Awamu ya tano watu walifurahi kuitwa wanyonge kuitwa watu wa hali ya chini, hohehahe na walala hoi.

Wakajengewa roho za kimaskini za kumchukia kila mwenye nacho. Kila ukitoa pesa wanaziona ni zao umewaibia. Waliaminishwa kuwa hii nchi ni ya maskini tu na tajiri yeyote ataishi kama shetani.

Swali kubwa ninalo wauliza wanyonge kwa miaka mitano ya kiongozi wa wanyonge mbona hatuoni hata wamachinga waliokua kutoka umachinga hadi kumiliki maduka?

Mtu kwa miaka mitano unapanga barabara chini pembezoni mwa barabara, mtaji haujaongezeka upo pale pale umedumaa. Humuoni aliyekudumaza unamshangilia kisa tu kakubali uendelee kuishi katika hali ile.

Wakati wamachinga wamefukuzwa wengi wakahamia kwenye frame wakaanza kufanya biashara zao kwa umakini zaidi.

Sasa ni yupi anayewatoa kwenye umaskini anayeutukuza na kuwaacha mdumu nao au anayewaonyesha mlipo sipo hameni haraka kwa namna yoyote?

Tajiri hujivunia mali/utajiri wake, na mnyonge/maskini hujivunia unyonge/umaskini wake.
 
Awamu ya tano watu walifurahi kuitwa wanyonge kuitwa watu wa hali ya chini, hohehahe na walala hoi.

Wakajengewa roho za kimaskini za kumchukia kila mwenye nacho. Kila ukitoa pesa wanaziona ni zao umewaibia. Waliaminishwa kuwa hii nchi ni ya maskini tu na tajiri yeyote ataishi kama shetani.

Swali kubwa ninalo wauliza wanyonge kwa miaka mitano ya kiongozi wa wanyonge mbona hatuoni hata wamachinga waliokua kutoka umachinga hadi kumiliki maduka?

Mtu kwa miaka mitano unapanga barabara chini pembezoni mwa barabara, mtaji haujaongezeka upo pale pale umedumaa. Humuoni aliyekudumaza unamshangilia kisa tu kakubali uendelee kuishi katika hali ile.

Wakati wamachinga wamefukuzwa wengi wakahamia kwenye frame wakaanza kufanya biashara zao kwa umakini zaidi.

Sasa ni yupi anayewatoa kwenye umaskini anayeutukuza na kuwaacha mdumu nao au anayewaonyesha mlipo sipo hameni haraka kwa namna yoyote?
Mbona hili neno la wanyonge limetumika sasa,tena naweza nikasema waasisi ni upinzani, kipindi Chadema wanazunguka Tanzania nzima kumsema Lowasa kwenye vinywa vyao lilitawala neno la "wananchi wa nyonge wanapata tabu......",huko bungeni maswala ya ESCROW, EPA, Meremeta neno wanyonge litawala wabunge karibia wote.

Ila kwa kuwa kalitumia Magu ishakuwa nongwa wakati hata wao walilitumia, ila si shangai sana kwani wanasiasa wengi sijui niseme wasahalifu au wanajitoaga ufahamu na ndio maana tabia yao ya usahalifu na kujitoa ufahamu, ilidhihirika Lowasa alivyojiunga UKAWA.
 
Mkuu hiyo ni kweli nimeona akina mama nitilie wakipanga frem na kuweka viti wakiuza chalula chao kwa ustaraabu kabisa
Awamu ya tano watu walifurahi kuitwa wanyonge kuitwa watu wa hali ya chini, hohehahe na walala hoi.

Wakajengewa roho za kimaskini za kumchukia kila mwenye nacho. Kila ukitoa pesa wanaziona ni zao umewaibia. Waliaminishwa kuwa hii nchi ni ya maskini tu na tajiri yeyote ataishi kama shetani.

Swali kubwa ninalo wauliza wanyonge kwa miaka mitano ya kiongozi wa wanyonge mbona hatuoni hata wamachinga waliokua kutoka umachinga hadi kumiliki maduka?

Mtu kwa miaka mitano unapanga barabara chini pembezoni mwa barabara, mtaji haujaongezeka upo pale pale umedumaa. Humuoni aliyekudumaza unamshangilia kisa tu kakubali uendelee kuishi katika hali ile.

Wakati wamachinga wamefukuzwa wengi wakahamia kwenye frame wakaanza kufanya biashara zao kwa umakini zaidi.

Sasa ni yupi anayewatoa kwenye umaskini anayeutukuza na kuwaacha mdumu nao au anayewaonyesha mlipo sipo hameni haraka kwa namna yoyote?
 
Mbona hili neno la wanyonge limetumika sasa,tena naweza nikasema waasisi ni upinzani, kipindi Chadema wanazunguka Tanzania nzima kumsema Lowasa kwenye vinywa vyao lilitawala neno la "wananchi wa nyonge wanapata tabu......",huko bungeni maswala ya ESCROW, EPA, Meremeta neno wanyonge litawala wabunge karibia wote.

Ila kwa kuwa kalitumia Magu ishakuwa nongwa wakati hata wao walilitumia, ila si shangai sana kwani wanasiasa wengi sijui niseme wasahalifu au wanajitoaga ufahamu na ndio maana tabia yao ya usahalifu na kujitoa ufahamu, ilidhihirika Lowasa alivyojiunga UKAWA.

Ishu ni miaka mitano alifanya nini kuwakomboa kutoka kwenye huo unyonge?
 
Mkuu hiyo ni kweli nimeona akina mama nitilie wakipanga frem na kuweka viti wakiuza chalula chao kwa ustaraabu kabisa

Imagine wangekaziwa wabaki hapo hapo kwa miaka mitano si wangekuwa mbali? Kuliko kule walipokuwa wanatembea na thermos za Uji
 
Ishu ni miaka mitano alifanya nini kuwakomboa kutoka kwenye huo unyonge?
Mbona alifanya vingi kwa nafasi yake na kwa muda wake.Hivi kwa hiyo mmachinga akimiliki duka mpaka akwambie ww ndio uamini?

Mimi na wajua wanangu waliokuwa wakifanya biashara Manzese (sikulazimishi uamini),wamejenga na wemewafungulia viduka wake zao na tigo pesa. Ila still bado wanapiga issues za umachinga vipi huoni kama wamepiga hatua?

Kwanza awamu ya ya Magu hamna Chinga aliyetimuliwa na hata migambo walikuwa hamna,awamu hii ndio upinzani wa mgambo na chinga umerudi.
 
Mbona alifanya vingi kwa nafasi yake na kwa muda wake.Hivi kwa hiyo mmachinga akimiliki duka mpaka akwambie ww ndio uamini?

Mimi na wajua wanangu waliokuwa wakifanya biashara Manzese (sikulazimishi uamini),wamejenga na wemewafungulia viduka wake zao na tigo pesa. Ila still bado wanapiga issues za umachinga vipi huoni kama wamepiga hatua?

Kwanza awamu ya ya Magu hamna Chinga aliyetimuliwa na hata migambo walikuwa hamna,awamu hii ndio upinzani wa mgambo na chinga umerudi.
Biashara sio uchawi biashara zinaonekana wa machinga wale wale waliokuwa wanashangilia kubaki barabarani 2015 ndo hao hao wapo tena location hapo wanataka wazeekee barabarani kwa neema waliyopewa na Mnyonge Mkuu
 
Biashara sio uchawi biashara zinaonekana wa machinga wale wale waliokuwa wanashangilia kubaki barabarani 2015 ndo hao hao wapo tena location hapo wanataka wazeekee barabarani kwa neema waliyopewa na Mnyonge Mkuu
Biashara ya umachinga ndani ya miaka mitano, umiliki duka hapo ana kodi, watoto shule na familia inahutaji mavazi na chakula? Unaonekana ww ni jamii ya motivation speakers.

Kupiga hatua hata kama ulikuwa unapata 1000,ukianza kupiga 5000 ni hatua tayari, halafu maendeleo sio kama uchukue kijiko cha sukari, urology kwenye chai then ikolee hapo hapo.

Mtu ambaye alikuwa Chinga kapanga life la kuunga, kitendo cha kununua kiwanja tayari mafanikio, kujenga ni mafanikio makubwa, mengine atafanya miaka mengine ijayo.
 
Biashara ya umachinga ndani ya miaka mitano, umiliki duka hapo ana kodi, watoto shule na familia inahutaji mavazi na chakula? Unaonekana ww ni jamii ya motivation speakers.

Kupiga hatua hata kama ulikuwa unapata 1000,ukianza kupiga 5000 ni hatua tayari, halafu maendeleo sio kama uchukue kijiko cha sukari, urology kwenye chai then ikolee hapo hapo.

Mtu ambaye alikuwa Chinga kapanga life la kuunga, kitendo cha kununua kiwanja tayari mafanikio, kujenga ni mafanikio makubwa, mengine atafanya miaka mengine ijayo.

Sasa kwanini uweze kujenga halafu ukae barabarani?
 
Sasa kwanini uweze kujenga halafu ukae barabarani?
Ndio kipaumbele chake, kila mtu na njia zake kwenye kufikia mafanikio yake, hamuwezi kufanana. Sasa hivi ana nyumba yake hiyo hela ya kodi anaweza akaitunza then akafungua duka.

Cha msingi ni kupiga hatua.
 
Back
Top Bottom