Hivi wanawezaje kukaa na wapenzi wao muda mrefu hivyo bila mimba?

AbuuMaryam

JF-Expert Member
Dec 26, 2015
2,536
4,513
Jamani mimi nashangaaga kweli yaani wengine usipokuwa makini unaweza mzalisha mtoto wa watu watoto kama ngazi sasa sijuagi tatizo ni wanaume wao wanawake wao...?

Mfano: lulu toka awe na majizzo plus akina kanumba huko nyuma Mr. Blue...hakuna hata siku akionekana na mimba...

Tumwangalie shilole mpaka leo hata dalili ya mtoto mwingine acha yule aliyezalishwa Igunga...

Na mastaa wengine wana wanaume la hawazai sielewi.

Naomba kupewa mbinu zao...
 
Aaah wema vs mond

mond vs zari


mond vs hamisa


nadhan tatizo umejua lipo wapi


lulu vs majizo

majizo vs hamisa



tatzo lipo kwa agawae watoto.
Allah anatoa watoto kwa amtakaye...ila wengine tupo ndoani lakini tunaishi kwa wasiwasi kupata mimba nyingine bila kutarajia..
 
Ushawahi kujiuliza kwa nini siku hizi kuna ongezeko kubwa la wadada wenye vitambi kuliko kina baba?
Ungepata takwimu ya mimba zinazo chomolewa kwa siku sidhani kama ungekua na uthubutu wa kuuliza hilo swali.

Maendeleo hayana chama
 
Ushawahi kujiuliza kwa nini siku hizi kuna ongezeko kubwa la wadada wenye vitambi kuliko kina baba?
Ungepata takwimu ya mimba zinazo chomolewa kwa siku sidhani kama ungekua na uthubutu wa kuuliza hilo swali.

Maendeleo hayana chama
Mkuu ongezeko la vitambi ni aina ya vyakula tunavyo kula kwa Sasa, asilimia kubwa wanawake wa Tanzania hatuna utamaduni wa kufanya mazoezi.
 
wanawake wa sasa wajuaji mno, hawataki kuharibu mvuto wa miili yao kwa kuzaa ama kunyonyesha, ndio maana wimbi la wanawake mastaa+wenye uwezo kutaka kuzaa kisayansi (kupandikiza mbegu kiume na za kike kwa wanawake wengine) linaongezeka kila kukicha eg kim kardashian.

Ndio maana kwa dunia ya sasa ukipatana na katoto cha umri -18 hakikisha unagegeda hadi ukazalishe lkn hawa wa 20+ wamekuwa wajuaji mno.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu ongezeko la vitambi ni aina ya vyakula tunavyo kula kwa Sasa, asilimia kubwa wanawake wa Tanzania hatuna utamaduni wa kufanya mazoezi.
Ni kweli kabisa mkuu Ila pia madawa mnayoyatumia ya uzazi wa mpango pia ni chanzo kikubwa zaidi kuliko hata kutokufanya mazoezi.

Maendeleo hayana chama
 
wanawake wa sasa wajuaji mno, hawataki kuharibu mvuto wa miili yao kwa kuzaa ama kunyonyesha, ndio maana wimbi la wanawake mastaa+wenye uwezo kutaka kuzaa kisayansi (kupandikiza mbegu kiume na za kike kwa wanawake wengine) linaongezeka kila kukicha eg kim kardashian.

Ndio maana kwa dunia ya sasa ukipatana na katoto cha umri -18 hakikisha unagegeda hadi ukazalishe lkn hawa wa 20+ wamekuwa wajuaji mno.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mvuto wa mwanamke hauharibiki kwa kuzaa au kumfanya achakae ni aina ya maisha yetu matuzo ziro.Nina watoto sita ila nikikwambia sina hata mmoja huwezi kukutaa 😀😀
 
Ni kweli kabisa mkuu Ila pia madawa mnayoyatumia ya uzazi wa mpango pia ni chanzo kikubwa zaidi kuliko hata kutokufanya mazoezi.

Maendeleo hayana chama
Mkuu kwa Sasa wanawake tuna tatizo la uzazi utumie dawa ama usitumie uwe na kitambi ama usiwe nacho.
 
Mvuto wa mwanamke hauharibiki kwa kuzaa au kumfanya achakae ni aina ya maisha yetu matuzo ziro.Nina watoto sita ila nikikwambia sina hata mmoja huwezi kukutaa
Hawachi hebu acha kutupiga kamba basi kaka zako.

Maendeleo hayana chama
 
Mkuu kwa Sasa wanawake tuna tatizo la uzazi utumie dawa ama usitumie uwe na kitambi ama usiwe nacho.
Mkuu sijafanya tafiti za kutosha ila nahisi hilo tatizo linachangiwa sana na matumizi ya njia za uzazi wa mpango kabla ya binti kuwahi kushika mimba.
Sasa hivi mabinti wengi wa sekondari wanatumia njia za uzazi wa mpango kwa kuhofia kupata mimba wakati wapo masomoni ukijumlisha na idadi ya wanafunzi wanaotoa mimba, nahisi mpaka hapo utajua chanzo hasa cha tatizo ni nini.

Maendeleo hayana chama
 
Mkuu sijafanya tafiti za kutosha ila nahisi hilo tatizo linachangiwa sana na matumizi ya njia za uzazi wa mpango kabla ya binti kuwahi kushika mimba.
Sasa hivi mabinti wengi wa sekondari wanatumia njia za uzazi wa mpango kwa kuhofia kupata mimba wakati wapo masomoni ukijumlisha na idadi ya wanafunzi wanaotoa mimba, nahisi mpaka hapo utajua chanzo hasa cha tatizo ni nini.

Maendeleo hayana chama
Ni kweli mkuu
 
Suala la kushika mimba siku hizi siyo jambo rahisi kama mnavyofikirikwa wanaume na wanawake tunaoishi mijini.
Kwa vijijini fasta tu inashika. Huku mijini mnaweza kuhangaika kumtafuta mtoto hadi mkasema basi. Ukienda kwa daktari anawaambia hamna tatizo, mkuiingia viwanjani hola mwezi baada ya mwezi. Kuna tatizo kubwa sana. nahisi suala la ulani namfumo mzina wa maisha umepunguza ubora wa mayai na mbegu kwa kiasi kikubwa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom