ni kweli.....huwa tuna hulka ya kuhamia kabisa.....kikiumana.....tunarudi tulikotoka......
ila huwa hatuamii kihisia za wazi Preta wengi sana ni circumstantial tu , hasa kwa yale wanayoyakosa ni mara chache kumkuta mwanamke anacheat kisa eti ni tabia yake mara nyngi huwa ni kwasababu ya anavyovikosa.
Kwa hiyo mnajaribu sehemu nyingi kuona kama utapata ulichokikosa sio. Na kmbka kuwa sio kila mtu ana kila kitu. Sasa utakwenda na wangapi?. Msilazimishe cheating ni UMALAYA tu...
Kwa hiyo mnajaribu sehemu nyingi kuona kama utapata ulichokikosa sio. Na kmbka kuwa sio kila mtu ana kila kitu. Sasa utakwenda na wangapi?. Msilazimishe cheating ni UMALAYA tu...
hebu twende taratibu hapa.....mwanamke akicheat ndio umalaya........au na mwanaume pia......?
kwa experience niliyoiona mara nyingi mwanaume akicheat hujua fika ana mpenzi permanent ni lazima harudi kwa mwenzi wake. Kwa wanawake mara nyingi wakichungulia nje hunogewa na kuhamia huko. Jee kuna ukweli ndani yake?
Ukisoma paragraph yote vizuri inaendana na kichwa cha habari. Sisisupport mwanaume au mwanamke kucheat, ila experience niliyoiona hayo hutokeaMwanamke akicheat jua humviringishi vizuri na akipotelea huko wewe ni boya kabisa alafu heading yako ni tofauti na ulichokiandika,pia jiulize na wanaume wanapocht wana mapenzi na wake zao=tamaa
Samahani nimekosea lugha nina maana ni lazima arudiHilo neno 'harudi' linaleta utata kwenye thread yako
hebu twende taratibu hapa.....mwanamke akicheat ndio umalaya........au na mwanaume pia......?