bize signal
Member
- Mar 22, 2021
- 29
- 50
mke wangu kosa pekee linaloweza kukutenganisha na mimi ni kuwazalau wazazi wangu au kuwafanyia visa. nisisikie hukuwawapikia! au umewajibu vibaya. mimi sijawahi. ukitaka talaka fanya kati ya hayo
uludiwekuna wake wanakuwa watata kiasi kwamba unaweza omba uchumba 'uludiwe'
mke wangu kosa pekee linaloweza kukutenganisha na mimi ni kuwazalau wazazi wangu au kuwafanyia visa. nisisikie hukuwawapikia! au umewajibu vibaya. mimi sijawahi. ukitaka talaka fanya kati ya hayo
Kwa dunia sasa nikujitafutia matatizo et mpe first place hakati yeye first place kawaweka ndungu na wazazi wake .halafu inaonekana mtunzi wa kitabu ni mwanamke ndio maana kinapotosha ukweli maana akija balance pande zoteNamba 3 wanataka umpe mke kipaumbeleView attachment 1797562