Ndugu zangu kabla ya kampeni kuanza nilipata bahati ya kutembelea hospital mbalimbali Huku kwetu kanda ya kaskazini. Ukienda utakuta wakina mama wanaosubiri kujifungua wamelala wawili kitanda kimoja yaani mzungu wa nne! Wakirudi majumbani kwao wanaenda na magonjwa mengine kutoka kwa watu walioshare nao vitanda. Nchi baada ya miaka karibia hamsini baada ya uhuru watu wanalala mzungu wa nne hospitali kusubiri kujifungua !
Sio mimi tu baada ya siku chache "chombo cha umma" TBC kilionyesha sehemu kadha wa kadha nchini hali ikiwa hiyo hiyo! nikapata wazo kwamba inawezekana nchi nzima iko hivyo.
Kwa kuwa wakina mama ni wapigaji wazuri wa kura, na kwa kuwa kutoipigia kura CCM watakuwa wameelezea kilio chao, je hawaoni kuwa ni wakati muafaka kuipenalize CCM?
NAOMBA KUWASILISHA.
Sio mimi tu baada ya siku chache "chombo cha umma" TBC kilionyesha sehemu kadha wa kadha nchini hali ikiwa hiyo hiyo! nikapata wazo kwamba inawezekana nchi nzima iko hivyo.
Kwa kuwa wakina mama ni wapigaji wazuri wa kura, na kwa kuwa kutoipigia kura CCM watakuwa wameelezea kilio chao, je hawaoni kuwa ni wakati muafaka kuipenalize CCM?
NAOMBA KUWASILISHA.