Kutamani
Leo una stress?!Mi ni kila siku as long as sina stress
Kinga bongo bwana...uondoke au niondoke mimimke mwenza Acha bana natumia kinga
Abeee uncleBasi wasilisha ombi... kwa shangazi yake espy mimi kubwa lao la maadui AKA Dady yao AKA babamdogo nitabariki kila lililojema.
Onyo : binti zangu sio wa kisport sport wamekamilika kila idara sio vyura wala sio risepusheni ukiwahitaji basi nawe usiwe wa kisport kisport.
Kuna hawa wawili pia waangalie kwa jicho pevu
Jovitha
Anny0
Huyu ankali wangu Heaven Sent haumuwezi mwaache tu.
Kutamani as long as ni Binadamu unatamani,lakini kujaribu usijaribu..Shangazi kwa hiyo hata kama mwanamke ameolewa bado anakuwa anatamani wengine bado?
ondoka weweKinga bongo bwana...uondoke au niondoke mimi
hahahahahahahahaha mwe! mwe!
Mbona hadi unashangaa vipi mi sikufaihahahahahahahahaha mwe! mwe!
Kila binadamu ana tamaa bila kujali jinsia yake
wanawake hawana tamaa, ndio maana hata HAWA/EVA hakumdanganya adamu ajipatie utelezi kama tunavyoambiwa.Wewe unajua wanawake tabia zao??
wanawake hawana tamaa, ndio maana hata HAWA/EVA hakumdanganya adamu ajipatie utelezi kama tunavyoambiwa.