kwisha
JF-Expert Member
- Sep 9, 2021
- 1,666
- 4,365
Haya si maneno yangu ni maneno ya Mungu mwenyewe, sasa sitaki watu waje kunishambulia hapa.
1 Wakorintho 11:8-12
1 Wakorintho 11:8-12 BHN
"Mwanamume hakutoka kwa mwanamke, ila mwanamke alitoka kwa mwanamume. Mwanamume hakuumbwa kwa ajili ya mwanamke, ila mwanamke aliumbwa kwa ajili ya mwanamume. Ndiyo maana mwanamke hufunika kichwa chake, iwe ishara ya mamlaka yaliyo juu yake, na pia kwa sababu ya malaika. Hata hivyo, mbele ya Bwana mwanamke si kitu bila mwanamume, naye mwanamume si kitu bila mwanamke. Kama vile mwanamke alivyotokana na mwanamume, vivyo hivyo mwanamume huzaliwa na mwanamke; kila kitu hutoka kwa Mungu.
Sasa wewe jifanye haki sawa kwa wote tutakutana huko juu kwa Mungu.
1 Wakorintho 11:8-12
1 Wakorintho 11:8-12 BHN
"Mwanamume hakutoka kwa mwanamke, ila mwanamke alitoka kwa mwanamume. Mwanamume hakuumbwa kwa ajili ya mwanamke, ila mwanamke aliumbwa kwa ajili ya mwanamume. Ndiyo maana mwanamke hufunika kichwa chake, iwe ishara ya mamlaka yaliyo juu yake, na pia kwa sababu ya malaika. Hata hivyo, mbele ya Bwana mwanamke si kitu bila mwanamume, naye mwanamume si kitu bila mwanamke. Kama vile mwanamke alivyotokana na mwanamume, vivyo hivyo mwanamume huzaliwa na mwanamke; kila kitu hutoka kwa Mungu.
Sasa wewe jifanye haki sawa kwa wote tutakutana huko juu kwa Mungu.