Swali fikirishi!Kwani zama wakay anaenda kwa ruge alikuwa hajui kama jamaa kazalisha sn?
Wanaume jamani mtuonee huruma sometimes unakuta mtuyu po desperate anahitaji ndoa kwa UDI na uvumba haijalishi huyo mtu Ni sahihi kwake ama anataka aonyeshe kuwa na mm nimeolewa sasaSwali fikirishi!
weka picha ya zamaradi tumuone si ajabu naye ni kama huyu kijanaMwanaume kakubali kukuoa ila familia imekataa usibadilishe dini, Mwanaume akasema basi muendelee kuishi pamoja bila Harusi, unamuacha unatafuta mtu yeyote tu hata kama hana sifa ili tu uonekane umefunga harusi...(pathetic)
Kamuacha Ruge tena aliyezaa nae watoto wawili..
Kaenda kuolewa na huyu dogo ,yaani sababu kubwa afunge harusi..
Kweli wanawake mna fantasy za ajabu ndio maana ni viumbe vya ajabu..
Wanawake sio watu kabisa maana anaweza kukuacha umelala usiku akatoloka akagongwa huko nje alafu akarudi ndani ndo maana hata Yesu aliwaambia mkiweza oeni msipo weza acheniMwanaume kakubali kukuoa ila familia imekataa usibadilishe dini, Mwanaume akasema basi muendelee kuishi pamoja bila Harusi, unamuacha unatafuta mtu yeyote tu hata kama hana sifa ili tu uonekane umefunga harusi...(pathetic)
Kamuacha Ruge tena aliyezaa nae watoto wawili..
Kaenda kuolewa na huyu dogo ,yaani sababu kubwa afunge harusi..
Kweli wanawake mna fantasy za ajabu ndio maana ni viumbe vya ajabu..
Huyu huyu kondakta mwenye kithembe???Kondakta wa Dar amedhamini harusi kwa milioni 25 ili tu kumkomoa Ruge.