howardlite
JF-Expert Member
- Jul 16, 2016
- 234
- 368
Kusamehe ni process mkuu,lakini inahitaji maamuzi binafsi kutoka ndani kwa kuwa inahusisha hisia.
Ni rahisi kusamehe au kutokusamehe kama aliyetendewa anaamini aina ya kosa lina uzito gani kwake.
Viwango vya kushikilia na kutokuachilia kwa muda gani watu wote wanatofautiana sio wanaume wala wanawake.Kwa upande wa dini issue ya kusamehe ni very sensitive.Kwa mfano kwenye Biblia inataja usamehe kabla ya jua kuzama(tafsiri rahisi ndani ya masaa kumi na mbili).
Kwanini?Kuna faida kubwa za kusamehe kwa muda mfupi kuliko kutokusamehe na kuachilia kwa muda mfupi,zipo sababu za kiroho,kiafya,kisaikolojia na kimahusiano pia.
Ni rahisi kusamehe au kutokusamehe kama aliyetendewa anaamini aina ya kosa lina uzito gani kwake.
Viwango vya kushikilia na kutokuachilia kwa muda gani watu wote wanatofautiana sio wanaume wala wanawake.Kwa upande wa dini issue ya kusamehe ni very sensitive.Kwa mfano kwenye Biblia inataja usamehe kabla ya jua kuzama(tafsiri rahisi ndani ya masaa kumi na mbili).
Kwanini?Kuna faida kubwa za kusamehe kwa muda mfupi kuliko kutokusamehe na kuachilia kwa muda mfupi,zipo sababu za kiroho,kiafya,kisaikolojia na kimahusiano pia.