Sukye13
Senior Member
- Apr 20, 2020
- 163
- 169
Au yaweza kua amemkuta hata show hawezi piga kisawasawa but amemvumilia mpaka amekua mgegedaji mzuri na labda amemfundisha tactics nyingi za kuchakata..Yawezekana amemkuta mwanaume hajui kupiga mswaki, hajui kuvaa kijanja, ananuka soksi, mshamba mshamba, ananuka mijasho,....sasa akamshawishi angalau aonekane ni mtu...hapo lazima atoe hiyo kauli
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa linapokuja swala la kushare ndo labda wanakua wanatoa kauli hizo..
Ni kwa mtazamo wangu.. Mimi sijui wao wana maana gan