Hivi wanaume wote wapo kama mimi?

Mughenyi

New Member
Jul 16, 2021
4
1
Sijui nina moyo mdhaifu kila mwanamke Mzuri nikikutana naye najikuta nampenda na natamani kuwa naye, yaani kwa siku nikikutana na wanawake 10 basi nane nitakuwa nimewatamani.
 
Sijui nina moyo mdhaifu kila mwanamke Mzuri nikikutana naye najikuta nampenda na natamani kuwa naye, yaani kwa siku nikikutana na wanawake 10 basi nane nitakuwa nimewatamani.

Umepata chanjo au bado?
 
Sijui nina moyo mdhaifu kila mwanamke Mzuri nikikutana naye najikuta nampenda na natamani kuwa naye, yaani kwa siku nikikutana na wanawake 10 basi nane nitakuwa nimewatamani.
Sio wewe ni macho yako na tamaa iwakayo ndani yako.. Shibe ya macho ni kuona na kutazama.. Tamaa ndio inayokusukuma utazame nini
 
Back
Top Bottom