maharage ya ukweni
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 1,231
- 2,400
Daah! Hii dunia ngumu sana ukiifikiria sana unaweza kulia kila siku. Maana kuna mambo mengine yanachekesha.
Hivi mtu yuko serious kabisa anacheza upatu na mchepuko halafu anapanga malengo na bajeti kabisa akipokea mchezo afanye jambo fulani.
Huku kuna jirani yetu kashapigwa za uso, mchezo wako watu 11 yeye kapewa hela ya majina 3.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Hivi mtu yuko serious kabisa anacheza upatu na mchepuko halafu anapanga malengo na bajeti kabisa akipokea mchezo afanye jambo fulani.
Huku kuna jirani yetu kashapigwa za uso, mchezo wako watu 11 yeye kapewa hela ya majina 3.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣