Hivi wanaume na wanawake ni wapi huongoza kwa kujisahau katika ndoa?

Chungu chachu tamu

New Member
Dec 17, 2020
2
5
Salam sana

Ama baada ya salamu

Kumekuwa na kauli kuwa watu wengi wamekuwa wakijisahau sana majukumu yao baada ya kufunga ndoa na wapenzi wao. Kila upande huulalamikia upande mwingine kuwa wamejisahau sana.

MALALAMIKO YA WANAUME
Wanaume wamekuwa wakiwashutumu wanawake kubadilika sana katika ndoa hasa pale ambapo wamepata mtoto.
  • Huwa bize sana na mtoto na mapenzi huhamia kwa mwana
  • Hupuuzia mgegedo
  • Hawajali tena muonekano mzuri hasa wa mavazi tofauti na enzi za uchumba

MALALAMIKO YA WANAWAKE
Kwa upande wa wanawake huwalaumu wanaume kuwa;-
  • Wanajisahau sana katika kutunza familia
  • Kutokumjali mwanamke tofauti na wakati wa upenzi na uchumba
  • Game hupungu, kama alikuwa anapiga masaa mawili hushuka mpaka dakika 20

Hayo ni baadhi ya mambo ambayo nimeyaona. Ila ninachotaka kufahamu kuwa ni NANI hasa wanaanza kuwapuuza wenzao pindi wawapo ndoani?

Au ni nani chanzo cha mabadiliko hasi ndani ya ndoa?
 
Nakumbuka Kuna jamaa yangu akajisahau akakuta yuko chumbani kwa dada, mara houseboy naye akajisahau akaingia hukohuko, mara mama mjengo akasikika huyu Juma (house boy) Yuko wapi nimeenda chimbani kwake sijamkuta, mara naye akajisahau, akaingia kwa dada Yuko uchi wa mnyama. Wote wanne wakawa uchi wa mnyama kwenye chumba kimoja wanakodoleana macho
 
Wote. Mwanaume anaona haka kafala nimeshakaweka ndani bhasss hakana ujanja. So vi surprise, vidhawadi vi outing vinaisha. Vile visex vya kupigishana yowe mpaka unaomba poo hamna tena manina.

Na Bi Dada ilmradi sherehe ishafanyika, ameshawarusha roho mashoga zake mpaka wakapiga saluti, Basi anabweteka. Zile ishu za usafi, kubadilisha misosi kujipara hamna tena. Atashindia dera, akizaa anuke maziwa kutwa nzima manina.

Ni wote aisee.
 
Cases nyingi sana ni wanawake ndio huanza kumpuuza mwanaume wake baada ya kuzaa.
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom