Kitu pekee nnachojua Most Women demand equal rights and not equal Responsibilties
Right - HakiKamusi yangu imenyeshewa naomba tafsiri tafadhali.
unatumia kinywaji gani?Nahisi nipo nje ya mada kidogo lakini sometimes wanawake tunajichanganya
Tunataka haki sawa kwa wote wakati huo huo tuna ile kauli mbiu yetu eti wanawake tukiwezeshwa tunaweza...SMH!
Habari za usiku huu wana JF?
Mie wala siyo mwingi wa habari ila nilitaka tu kuwauliza ninyi kaka zetu hili swali kama kichwa cha mada kinavyojieleza hapo juu.
Swali: Hivi, wanaume mnaposema kuwa wanawake wa siku hizi tunapenda usawa huwa mnamaanisha usawa kivipi yaani kwenye mambo yepi haswa?
Swali la nyongeza: Je, mnataka wanawake tusifanye makosa ila wanaume mfanye makosa halafu wanawake tukae kimya tusiwaambie na wala tusiwafanye chochote au mnatakaje?
Naombeni majibu yenu tafadhali na hata wanawake wenzangu pia mnaweza kujibu chochote mnachojua kuhusiana na hayo maswali maana mimi sina majibu kabisa.
unatumia kinywaji gani?
😂😂😂😂😂 kina nani haoUzuri ni kwamba linapokuja suala la pesa wao ndio wanataka haki sawa.
ooh, agiza nitalipiaBalimi mkuu
Wewe na wenzio wa kiume.kina nani hao
😅😅 asanteeooh, agiza nitalipia
Kwenye suala la pesa mishipa inawatoka hatari, utaitwa kila majina. Ila sio kwenye mambo mengine.Kabisa tena wengine hadi wanataka sisi ndo tufanye zaidi
au nitumie namba, nikufowadie muamala na ya kutolea kabisa....asantee