Zesh
JF-Expert Member
- Apr 27, 2017
- 15,381
- 24,979
LabdaSio kwamba hujawah labda ww sio mtundu waishiaa tu kwenye koni lol
LabdaSio kwamba hujawah labda ww sio mtundu waishiaa tu kwenye koni lol
Hahaha we Jamaa upo! ??
Kama kawaida unataka kuchonganisha watu enhe! ??
😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂
ulikuwa umefungiwa wapi binti, mbona uliadimika sanaWanaume mnakwama wapi jaman?mbona gololi hamzioshi??tatizo ni nini huko uvunguni mbonaa uvundo??
Kutokana na kikao chetu wakina dada wa shoka tunaojuaa shughuli za sita kwa sita, wamenituma kama mjumbe wao kuwakumbusha jamani eeeheee mkiogaaa msisahau kusafishaa na huko kwenye uvungu wa gololi zenu manake daaah mnatupa tabu,wakati tunapaliliaa penzi jaman,
Wanaume hebu kuweni wasafi bwana kumbukeni na kusafishaa huko uvunguni manake sio kwa uvundo huo hadi kero mambo ya kujimwagiaa maji bila kupitishaa sabuni huko mtatuleteaa mafuaa alaaaa......
.
.
NOTE:hakuna wa kujiteteaa karibiaa asilimiaa 90 ya wanaume hamsugui huko so jitahidini bwana there is no excuse
Ndo yule yule mambembe ,
the queen of king bed
Queen of all weather
Unstoppable
TZ kuna watu milioni 55, tuanze kukokotoa.
milioni 10 wazee.
milioni 15 watoto, miaka 17 kurudi nyuma.
milioni 20 wanawake.
milioni 15 wanaume, hapa tutatoa milioni 5 ya wanaume wenye matatizo mbalimbali ambao kwa namna moja au nyingine utashindwa kufikia gololi zao, kwahiyo watabaki milioni 10 ambao ni marijali.
tuchukue 90% ya milioni 10....
90%/100 x 10000000 = 9,000,000
number don't lie, asilimia 90 ya milioni 10 ni milioni 9........kwahiyo dada yangu hiyo risechi yako ulifanya kwa watu milioni 9??????????
For who???you???hell no not today biishy may next year u dnt even deserve my attention so chilax
Preach baby preach wakiambiwaa wanakujaa juu
hao ndio type yako usitusumbue sisi alaahaWanaume mnakwama wapi jaman?mbona gololi hamzioshi??tatizo ni nini huko uvunguni mbonaa uvundo??
Kutokana na kikao chetu wakina dada wa shoka tunaojuaa shughuli za sita kwa sita, wamenituma kama mjumbe wao kuwakumbusha jamani eeeheee mkiogaaa msisahau kusafishaa na huko kwenye uvungu wa gololi zenu manake daaah mnatupa tabu,wakati tunapaliliaa penzi jaman,
Wanaume hebu kuweni wasafi bwana kumbukeni na kusafishaa huko uvunguni manake sio kwa uvundo huo hadi kero mambo ya kujimwagiaa maji bila kupitishaa sabuni huko mtatuleteaa mafuaa alaaaa......
.
.
NOTE:hakuna wa kujiteteaa karibiaa asilimiaa 90 ya wanaume hamsugui huko so jitahidini bwana there is no excuse
Ndo yule yule mambembe ,
the queen of king bed
Queen of all weather
Unstoppable