Hivi wanaume mnakwama wapi jamani??

Sijui hata wanawake tunafeli wapi?

Why not take your man to the damn bathroom and scrub the damn scum off the balls?

Cha pili ina maana hatujui anatomy ya pumbu? Joto...jasho sababu ya location ?

Ndo maana kunakuwaga na ku freshen up sababu mtu katoka kwenye pirika huko lazima sweat kidogo ihusike.

Wanaume sio kama sisi ambao lazima tunawe kila tunapojisaidia. Wao wakisha shake after use inatosha mpaka baadae wakioga wakisharudi home.
 
Mmeo kama yuko hivyo usijumlishe wote. Uje ulambe uone
Wanaume mnakwama wapi jaman?mbona gololi hamzioshi??tatizo ni nini huko uvunguni mbonaa uvundo??


Kutokana na kikao chetu wakina dada wa shoka tunaojuaa shughuli za sita kwa sita, wamenituma kama mjumbe wao kuwakumbusha jamani eeeheee mkiogaaa msisahau kusafishaa na huko kwenye uvungu wa gololi zenu manake daaah mnatupa tabu,wakati tunapaliliaa penzi jaman,

Wanaume hebu kuweni wasafi bwana kumbukeni na kusafishaa huko uvunguni manake sio kwa uvundo huo hadi kero mambo ya kujimwagiaa maji bila kupitishaa sabuni huko mtatuleteaa mafuaa alaaaa......
.
.
NOTE:hakuna wa kujiteteaa karibiaa asilimiaa 90 ya wanaume hamsugui huko so jitahidini bwana there is no excuse

Ndo yule yule mambembe ,
the queen of king bed
Queen of all weather
Unstoppable
 
Sijui hata wanawake tunafeli wapi?

Why not take your man to the damn bathroom and scrub the damn scum off the balls?

Cha pili ina maana hatujui anatomy ya pumbu? Joto...jasho sababu ya location ?

Ndo maana kunakuwaga na ku freshen up sababu mtu katoka kwenye pirika huko lazima sweat kidogo ihusike.

Wanaume sio kama sisi ambao lazima tunawe kila tunapojisaidia. Wao wakisha shake after use inatosha mpaka baadae wakioga wakisharudi home.
kwanza my dear wakubali kwanza kuwa huko chini hawapakumbuki and most of them wakioga wanajimwagiaa tu maji then wanasepaa they dont use brush kujisuguaa wao ni mbio mbio tu tena usiombe ukutane na mfanya biashara asiyekaa ofisini doooh and kuhusu sisi wanawake unajuaa kabisa wanaume wanajifanyaa hawanaga tym na wake zao wakiwa nyumban ndo maana wanaawachaaa
 
Hahahahahahhahahahaha ngoja upopolewe mawe...... Hebu na mie nichunguze maana nahisi sijawahi kutana na wa hivyo
 
kwanza my dear wakubali kwanza kuwa huko chini hawapakumbuki and most of them wakioga wanajimwagiaa tu maji then wanasepaa they dont use brush kujisuguaa wao ni mbio mbio tu tena usiombe ukutane na mfanya biashara asiyekaa ofisini doooh and kuhusu sisi wanawake unajuaa kabisa wanaume wanajifanyaa hawanaga tym na wake zao wakiwa nyumban ndo maana wanaawachaaa

You did not get my point.
 
TZ kuna watu milioni 55, tuanze kukokotoa.
milioni 10 wazee.
milioni 15 watoto, miaka 17 kurudi nyuma.
milioni 20 wanawake.
milioni 15 wanaume, hapa tutatoa milioni 5 ya wanaume wenye matatizo mbalimbali ambao kwa namna moja au nyingine utashindwa kufikia gololi zao, kwahiyo watabaki milioni 10 ambao ni marijali.
tuchukue 90% ya milioni 10....
90%/100 x 10000000 = 9,000,000
number don't lie, asilimia 90 ya milioni 10 ni milioni 9........kwahiyo dada yangu hiyo risechi yako ulifanya kwa watu milioni 9??????????

Aisee
 
Hahaha Jf raha sana
TZ kuna watu milioni 55, tuanze kukokotoa.
milioni 10 wazee.
milioni 15 watoto, miaka 17 kurudi nyuma.
milioni 20 wanawake.
milioni 15 wanaume, hapa tutatoa milioni 5 ya wanaume wenye matatizo mbalimbali ambao kwa namna moja au nyingine utashindwa kufikia gololi zao, kwahiyo watabaki milioni 10 ambao ni marijali.
tuchukue 90% ya milioni 10....
90%/100 x 10000000 = 9,000,000
number don't lie, asilimia 90 ya milioni 10 ni milioni 9........kwahiyo dada yangu hiyo risechi yako ulifanya kwa watu milioni 9??????????
 
Ni kweli kabisa. Wanaume wako careless sana kwenye swala la kusafisha huko chini.
Unakuta kaka mzuri msafi lakin inama kwa chini sasa ndio utajuta kilichokupeleka
Wanaume mnakwama wapi jaman?mbona gololi hamzioshi??tatizo ni nini huko uvunguni mbonaa uvundo??


Kutokana na kikao chetu wakina dada wa shoka tunaojuaa shughuli za sita kwa sita, wamenituma kama mjumbe wao kuwakumbusha jamani eeeheee mkiogaaa msisahau kusafishaa na huko kwenye uvungu wa gololi zenu manake daaah mnatupa tabu,wakati tunapaliliaa penzi jaman,

Wanaume hebu kuweni wasafi bwana kumbukeni na kusafishaa huko uvunguni manake sio kwa uvundo huo hadi kero mambo ya kujimwagiaa maji bila kupitishaa sabuni huko mtatuleteaa mafuaa alaaaa......
.
.
NOTE:hakuna wa kujiteteaa karibiaa asilimiaa 90 ya wanaume hamsugui huko so jitahidini bwana there is no excuse

Ndo yule yule mambembe ,
the queen of king bed
Queen of all weather
Unstoppable
 
Wanaume mnakwama wapi jaman?mbona gololi hamzioshi??tatizo ni nini huko uvunguni mbonaa uvundo??
Kutokana na kikao chetu wakina dada wa shoka tunaojuaa shughuli za sita kwa sita, wamenituma kama mjumbe wao kuwakumbusha jamani eeeheee mkiogaaa msisahau kusafishaa na huko kwenye uvungu wa gololi zenu manake daaah mnatupa tabu,wakati tunapaliliaa penzi jaman,
Wanaume hebu kuweni wasafi bwana kumbukeni na kusafishaa huko uvunguni manake sio kwa uvundo huo hadi kero mambo ya kujimwagiaa maji bila kupitishaa sabuni huko mtatuleteaa mafuaa alaaaa......
.
.
NOTE:hakuna wa kujiteteaa karibiaa asilimiaa 90 ya wanaume hamsugui huko so jitahidini bwana there is no excuse
Ndo yule yule mambembe ,
the queen of king bed
Queen of all weather
Unstoppable
sawa tupo njiani tunakuja huko PM.
 
Ww huwa unamwogesha?
Sijui hata wanawake tunafeli wapi?

Why not take your man to the damn bathroom and scrub the damn scum off the balls?

Cha pili ina maana hatujui anatomy ya pumbu? Joto...jasho sababu ya location ?

Ndo maana kunakuwaga na ku freshen up sababu mtu katoka kwenye pirika huko lazima sweat kidogo ihusike.

Wanaume sio kama sisi ambao lazima tunawe kila tunapojisaidia. Wao wakisha shake after use inatosha mpaka baadae wakioga wakisharudi home.
 
13 Reactions
Reply
Back
Top Bottom