kabanga
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 37,205
- 18,474
hebu niambie vizuri....Nawanusa au wananuka kablaa hawajanuswaa chaaa
hebu niambie vizuri....Nawanusa au wananuka kablaa hawajanuswaa chaaa
Doh shogaangu acha tu,, yaan nimechoka kabisa hahaahahhaShoo tunakutana na mengi haswa sisi tunaojifanyaga tunazijuaa shughuli
Weeeee nikuweke msafi jitu zimaa kwani hujui kujisafishaa maishaa ya kudekeza wanaume kama watoto yashapitwaa na wakati periodUkiwa kama mwanamke basi tambua ilo ni jukumu lako kumuweka mumeo au mpenzi wako katika hali ya usafi na siyo kulalamika.
Nisaidiee kushangaaa ww yaan niangaliee watoto na yeye piaa bado nikashughulike na usafi wake tena wa mwili bora wa nguo naweza sema jukumu langu hadi kumuogeshaa???hell noKwa sababu gani? Kwa sababu mwanaume ndo anahudumia au? Na vipi kama mwanamke ndo anahudumia?
Wanaume mnakwama wapi jaman?mbona gololi hamzioshi??tatizo ni nini huko uvunguni mbonaa uvundo??
Kutokana na kikao chetu wakina dada wa shoka tunaojuaa shughuli za sita kwa sita, wamenituma kama mjumbe wao kuwakumbusha jamani eeeheee mkiogaaa msisahau kusafishaa na huko kwenye uvungu wa gololi zenu manake daaah mnatupa tabu,wakati tunapaliliaa penzi jaman,
Wanaume hebu kuweni wasafi bwana kumbukeni na kusafishaa huko uvunguni manake sio kwa uvundo huo hadi kero mambo ya kujimwagiaa maji bila kupitishaa sabuni huko mtatuleteaa mafuaa alaaaa......
.
.
NOTE:hakuna wa kujiteteaa karibiaa asilimiaa 90 ya wanaume hamsugui huko so jitahidini bwana there is no excuse
Ndo yule yule mambembe ,
the queen of king bed
Queen of all weather
Unstoppable