Hivi wanaume mmelogwa?

Mamaa Kigogo

Senior Member
Sep 26, 2011
105
43
utakuta mtu ana mke tena nzuri kweli kweli huduma kumpa mkewe ni utata lakini hata chakula cha watoto tabu lakini akiombwa huko nje na micharuko anaonesha ufundi wote wa kuhonga waki nyumba kwake matatizo kibao hivi unategemea nini na nimegundua wake za watu hawapendi kuchiti kwa asilimia kubwa wanawake wana mapenzi ya dhati ila wanakuwa forced na vituko vya waume zao ndio maana wanakuwa rahisi kupata vishawishi nje ili wapate faraja angalau .haya huwa wanasingizia wanakosa mapenzi kwa wake zao ndo maana wanatoka nje ya ndoa watoto je ?wapi mihongo tu .nao watoto wanamakosa kuwalisha shida unaenda kulisha mijanamke ambayo ukiwa hauna unachapa lapa? wale wanaume wakware jirekebisheni ingekuwa ni uwezo wangu ningewapiga vipapai wote wenye tabia hizo ambao hawajuhi majukumu yao sijuhi waliowa ili iweje jirekebisheni habari ndio hiyo .

nawakilisha
 
hahahahaha. mamaa kigogo pole sana inaonekana una hasira kweli na baba kigogo, sio wote wako hivo wengine wanakupa kila kitu kasoro hayo mahaba tu anakuwa hampi mkewe, hivi kati ya chakula/matunzo na mahaba ungechagua nini swali tu la kizushi
 
duh ... full mkorogo!! leo kazi ipo!!

Join Date : 26th September 2011
Posts : 25
Rep Power : 0
 
Mamaa Kigogo umenena, maana mie mwenyewe huwa nafanya karesearch kangu kadogo ka kutazama wanaume wanaocheat nimeona wengi wana wake wazuri sana, sasa wenzetu labda mtuambie huko kwa wake zenu wazuri nini kinakosekana??? Je? kuna ugumu gani unaoupata wewe kama mwanaume kumwambia mkeo kile unachokipenda???? Lingine nimeona siku hizi kuna katabia ka wanawake kupenda "Ushirikina" nawaomba wababa tafadhali sana muwe makini na hawa wamama/dada wengine ndio wachangia msahau familia zetu. Mnisamehe mie ni dada nilichoandika hapa ndicho naona kila siku kinafanyika.
 
hahahahaha. mamaa kigogo pole sana inaonekana una hasira kweli na baba kigogo, sio wote wako hivo wengine wanakupa kila kitu kasoro hayo mahaba tu anakuwa hampi mkewe, hivi kati ya chakula/matunzo na mahaba ungechagua nini swali tu la kizushi

lazima uchague kilichokupeleka pale, kwani kwenu hivyo vyote si uliviacha.
 
umesema kweli mamaakigogo labda wanaume wa siku hizi wanahudumia familia 100 kwa 100 sijui, lakini wale wa umri wangu mimi na bujibuji wanapenda sana majigambo ya huko nje kuliko ya nyumbani.
 
Kweli kwa hiyo hali sio nzuri hata kidogo yafaa wenye tabia kama hizo kujirekebisha haraka iwezekanavyo
 
uzuri wa sura sio roho Mpwa.....kuna wananwake ni wazuri utadhani hawa.....thubutuuu uwe nae, utaiona dunia chungu lakini pia simaanishi kuwa hio tabia ya baadhi yetu ni sahihi; hapana si sahihi hata kidogo
Mamaa Kigogo umenena, maana mie mwenyewe huwa nafanya karesearch kangu kadogo ka kutazama wanaume wanaocheat nimeona wengi wana wake wazuri sana, sasa wenzetu labda mtuambie huko kwa wake zenu wazuri nini kinakosekana??? Je? kuna ugumu gani unaoupata wewe kama mwanaume kumwambia mkeo kile unachokipenda???? Lingine nimeona siku hizi kuna katabia ka wanawake kupenda "Ushirikina" nawaomba wababa tafadhali sana muwe makini na hawa wamama/dada wengine ndio wachangia msahau familia zetu. Mnisamehe mie ni dada nilichoandika hapa ndicho naona kila siku kinafanyika.
 
Mamaa Kigogo umenena, maana mie mwenyewe huwa nafanya karesearch kangu kadogo ka kutazama wanaume wanaocheat nimeona wengi wana wake wazuri sana, sasa wenzetu labda mtuambie huko kwa wake zenu wazuri nini kinakosekana??? Je? kuna ugumu gani unaoupata wewe kama mwanaume kumwambia mkeo kile unachokipenda???? Lingine nimeona siku hizi kuna katabia ka wanawake kupenda "Ushirikina" nawaomba wababa tafadhali sana muwe makini na hawa wamama/dada wengine ndio wachangia msahau familia zetu. Mnisamehe mie ni dada nilichoandika hapa ndicho naona kila siku kinafanyika.

hili mimi halinihusu_maake bado nipo nipo sana
 
hahahahaha. mamaa kigogo pole sana inaonekana una hasira kweli na baba kigogo, sio wote wako hivo wengine wanakupa kila kitu kasoro hayo mahaba tu anakuwa hampi mkewe, hivi kati ya chakula/matunzo na mahaba ungechagua nini swali tu la kizushi

mwanamke hata hapewe vyote bado haridhiki kila siku maneno maneno tuuu na vijisababu vya uongo ili ionekane mnaonewa!! na mkipata vyote hapo kwenye nyekundu mtadai mpate na kazi za nje khah!! wanawake nyinyi
 
utakuta mtu ana mke tena nzuri kweli kweli huduma kumpa mkewe ni utata lakini hata chakula cha watoto tabu lakini akiombwa huko nje na micharuko anaonesha ufundi wote wa kuhonga waki nyumba kwake matatizo kibao hivi unategemea nini na nimegundua wake za watu hawapendi kuchiti kwa asilimia kubwa wanawake wana mapenzi ya dhati ila wanakuwa forced na vituko vya waume zao ndio maana wanakuwa rahisi kupata vishawishi nje ili wapate faraja angalau .haya huwa wanasingizia wanakosa mapenzi kwa wake zao ndo maana wanatoka nje ya ndoa watoto je ?wapi mihongo tu .nao watoto wanamakosa kuwalisha shida unaenda kulisha mijanamke ambayo ukiwa hauna unachapa lapa? wale wanaume wakware jirekebisheni ingekuwa ni uwezo wangu ningewapiga vipapai wote wenye tabia hizo ambao hawajuhi majukumu yao sijuhi waliowa ili iweje jirekebisheni habari ndio hiyo .

nawakilisha

khaa! Una hasira? Punguza mamaa
 
utakuta mtu ana mke tena nzuri kweli kweli huduma kumpa mkewe ni utata lakini hata chakula cha watoto tabu lakini akiombwa huko nje na micharuko anaonesha ufundi wote wa kuhonga waki nyumba kwake matatizo kibao hivi unategemea nini na nimegundua wake za watu hawapendi kuchiti kwa asilimia kubwa wanawake wana mapenzi ya dhati ila wanakuwa forced na vituko vya waume zao ndio maana wanakuwa rahisi kupata vishawishi nje ili wapate faraja angalau .haya huwa wanasingizia wanakosa mapenzi kwa wake zao ndo maana wanatoka nje ya ndoa watoto je ?wapi mihongo tu .nao watoto wanamakosa kuwalisha shida unaenda kulisha mijanamke ambayo ukiwa hauna unachapa lapa? wale wanaume wakware jirekebisheni ingekuwa ni uwezo wangu ningewapiga vipapai wote wenye tabia hizo ambao hawajuhi majukumu yao sijuhi waliowa ili iweje jirekebisheni habari ndio hiyo .

kwenye red hapo unamaanisha misumari sio? sasa unataka uwazindike hata wasio wa kwako,maana umesema wote,si uonevu huo yaani Bishanga nijishtukie naosha vyomb,nadeki,sitoki ndani,nalia hovyo kisa mamaa Kigogo,lol!
 
fanya vyooote lakin husisahau familia yako utalaaniwa bureeeee wajamen,kumbuka hata ukiumwa huyo kimada hutamwona kukuhudumia ni mkeo na familia yako,so twende mbele na kurudi nyuma home is the best
 
wanaume tumeumbwa mateso,ukiwa kazini kelele ukirudi nyumbani nako kelele nyingi ndio
manake tunaamua kujirusha na vingasti ambao wanajua nn maana ya kuhandle.
wanawake mnajisahau sana mkishaolewa, mume akitaka tundi hadi aombe na kupewa kwa masharti
,wote mnafanya kazi lkn wanawake wanataka mwanume yeye ndio aagharamie kila kitu home
za kwenu hazionekani bora sasa kuwa na wanje.sasa na hao wa nje pia wanahitaji huduma kwani sii wote watabahatika kuolewa wanahitaji tuwahudumie pia wajamini,kizuri kula na nduguyo.
mama kigogo jiangalie ww una mapungufu yapi kwanza kabla ya kumlaumu mwenza,,kweli ndoa kazi
 
Mamaa Kigogo umenena, maana mie mwenyewe huwa nafanya karesearch kangu kadogo ka kutazama wanaume wanaocheat nimeona wengi wana wake wazuri sana, sasa wenzetu labda mtuambie huko kwa wake zenu wazuri nini kinakosekana??? Je? kuna ugumu gani unaoupata wewe kama mwanaume kumwambia mkeo kile unachokipenda???? Lingine nimeona siku hizi kuna katabia ka wanawake kupenda "Ushirikina" nawaomba wababa tafadhali sana muwe makini na hawa wamama/dada wengine ndio wachangia msahau familia zetu. Mnisamehe mie ni dada nilichoandika hapa ndicho naona kila siku kinafanyika.

kumbe ndio mnavyotukaanga hivyo,loh!
 
fanya vyooote lakin husisahau familia yako utalaaniwa bureeeee wajamen,kumbuka hata ukiumwa huyo kimada hutamwona kukuhudumia ni mkeo na familia yako,so twende mbele na kurudi nyuma home is the best

home is the best sawaaa, ila wanawake wanazidisha aisee duh!! kwanza wao kipato chao hawataki kitumike kutunza familia, zao zinaishia kwenye salon tu na mavazi ya bei mbaya eti unakuta mwanamke anaenda kusuka nywele laki 4 ila ndani hata maziwa ya watoto yakiisha hanunui anakupigia simu tu hata kama una kikao cha marafiki utasikia baba nanihiiii ukiwa unarudi nyumbani njoo na maziwa ya watoto yameisha aargh.., kuna wanawake hapa naskia wanaongelea viatu sijui CL pound 1400 ila kutoa na wao kidogo wachangie hata school fees hakuna, kwa wao jukumu loooote la kutunza familia ni la mwanaume aisee si bora mara moja moja na sisi tujipoze machungu na vya nje ya ndoa!![h=2][/h]
 
home is the best sawaaa, ila wanawake wanazidisha aisee duh!! kwanza wao kipato chao hawataki kitumike kutunza familia, zao zinaishia kwenye salon tu na mavazi ya bei mbaya eti unakuta mwanamke anaenda kusuka nywele laki 4 ila ndani hata maziwa ya watoto yakiisha hanunui anakupigia simu tu hata kama una kikao cha marafiki utasikia baba nanihiiii ukiwa unarudi nyumbani njoo na maziwa ya watoto yameisha aargh.., kuna wanawake hapa naskia wanaongelea viatu sijui CL pound 1400 ila kutoa na wao kidogo wachangie hata school fees hakuna, kwa wao jukumu loooote la kutunza familia ni la mwanaume aisee si bora mara moja moja na sisi tujipoze machungu na vya nje ya ndoa!!

hapo si kupunguza machungu ni kujikaanga mwenyewe siku yakikukuta unaanza kujuta wakati mchawi mwenyewe umwjiloga kuwa makini ndugu waulize wenzio hayo yote yana mwisho tena mbaya
 
fanya vyooote lakin husisahau familia yako utalaaniwa bureeeee wajamen,kumbuka hata ukiumwa huyo kimada hutamwona kukuhudumia ni mkeo na familia yako,so twende mbele na kurudi nyuma home is the best

na wanalahaniwa vibaya yanapowakuta wanatia huruma ile mbaya
 

Similar Discussions

8 Reactions
Reply
Back
Top Bottom