Kaveli
JF-Expert Member
- Dec 4, 2012
- 5,120
- 8,140
Muito huu wa msisitizo!
Ndo uwe ni muito wa kwenda kunyonya 'vitamin papai' na kusugua "king'amuzi" ng'ali kwa ng'ali... ni kuja fasta kwa spidi ya kuwahi gari la mshahara.
-Kaveli-
Hiyo ni kolabo ya muhimu sana, kilele ni dakika ya 3 hadi ya 6 au 7 unakuwa umeshakipanda!
😂😂😂😂 nakusalimu ndugu yangu!
Ukiona matiti ya wanawake ww unalala mbwisye kweli wwAcha ufara we Bata bukini
hakika,sioni nikiacha kuomba hiyo service jaman akijitia kuachaUmeona eeh, acha tuenjoy na tupate tiba bana, inaitwa 2 in 1 😂
stunter yuko wapihapana mkuu, niko nimenyooka kabisa na wewe unajua
Stunter yupo bhana si unajua maisha yamekuwa kama yanatunyoosha? ndio nimekuja kuangalia huku bado kama wadau mpo na yeye atakuja soon.stunter yuko wapi
Tunanyonya hewa tunamezaMatiti yenyewe hata hayatoi maziwa lakini utakuta mtu anakazana kunyonya mpaka yanabadilika rangi yanakuwa mekundu mpaka unahisi maumivu hata watoto sidhani kama wananyonyaga mpaka wanawaumiza mama zao.
Hivi mnapata nini kwenye matiti ambayo hata hayatoi maziwa?
Lazima codes mana kuna watoto humu, under ageDuh uneongea kw codea nusura nisielewe ila atleast nimekupata
Tunashukuru kwa kututoa hofuDah kwahiyo unataka waache hilo zoezi? Wee waendelee tu kuna wanaopenda
Wakaka endeleeni tu achaneni na porojo za mtoa mada
HahaaaWatu wananyonya hadi 'uwemba' wewe washangaa kunyonywa hapo 'kabati la juu'
PapuchiMbususu ndo Nini mkuu!?,
Never mind nitaenda kuuliza bakita maana ya mbususu.
Matiti yenyewe hata hayatoi maziwa lakini utakuta mtu anakazana kunyonya mpaka yanabadilika rangi yanakuwa mekundu mpaka unahisi maumivu hata watoto sidhani kama wananyonyaga mpaka wanawaumiza mama zao.
Hivi mnapata nini kwenye matiti ambayo hata hayatoi maziwa?
Hivi kumbe una akili mbovu sana bora hata mimi 😂😂😀Tunapata, tena huwa tunapata vingi, wakati ulimi ukiwa unafanya utalii kwenye hivyo "vilele" viwili kile kidole maarufu nacho huwa kinafanya ziara za kushtukiza kule maeneo ya pori tengefu, kwa ushirikiano wa hizo sekta mbili mtambuka basi utasisimua na kuinua uchumi wa nchi na mara moja mtajikuta mpo kwenye uchumi wa kati tena wa juu mkifaidi matunda ya utalii na ziara za kushtukiza.
Kwa kauli moja tunasema zoezi hili liwe endelevu kwa mustakabali mzuri wa ustawi wa uchumi wetu.
Mh spika, naomba kuwasilisha.
Na papuchi maanake Nini!?, Au nitaenda uliza tena BAKITAPapuchi
acha basi cheif, nimejaribu kuona kama fasihi ya miaka bado ipo au laah, ila sikushindi weweHivi kumbe una akili mbovu sana bora hata mimi