Sella turcica
Senior Member
- Oct 13, 2020
- 104
- 193
Kwanza kabisa nikiri kuwa sikifahamu kiswahili pamoja na kuzaliwa Tanzania na kusoma hadi chuo kikuu. Ukitaka kujipima kama unakijua kiswahili au la basi set simu yako iwe kwa kiswahili kisha utapata majibu.
Kiswahili ni lugha ambayo inatuunganisha watanzania, hilo ni jambo jema kabisa, japo kuna watanzania baadhi hawajui kabisa kiswahili.
Mtanzania wa kawaida hawezi kuzungumza kiswahili pasi na kuchanganya na kingereza. Na hii ni katika mazungumzo ya vijiweni tu.
Sasa mtu unaposema eti kiswahili kitumike kufundishia kuanzia shule ya msingi hadi chuo kikuu nabaki kushangaa.
Yani mtu asome sheria kwa kiswahili!
Madaktari wasome pathology, pharmacology na surgery kwa kiswahili!
Kwenye research utakuta studies nyingi zimefanyika Ulaya, hapa Tanzania ni chache sana.
Sasa utafanya vipi literature review ilhali publications tunazotegemea ziko kwa kingereza?
Kwakweli hawa watu wanaopush hii agenda naona hawako serious kabisa.
Ningewaelewa kama wangesema kingereza kitumike kufundishia kuanzia elimu ya msingi hadi chuo, kiswahili kibaki kuwa somo. Nawasilisha.
Kiswahili ni lugha ambayo inatuunganisha watanzania, hilo ni jambo jema kabisa, japo kuna watanzania baadhi hawajui kabisa kiswahili.
Mtanzania wa kawaida hawezi kuzungumza kiswahili pasi na kuchanganya na kingereza. Na hii ni katika mazungumzo ya vijiweni tu.
Sasa mtu unaposema eti kiswahili kitumike kufundishia kuanzia shule ya msingi hadi chuo kikuu nabaki kushangaa.
Yani mtu asome sheria kwa kiswahili!
Madaktari wasome pathology, pharmacology na surgery kwa kiswahili!
Kwenye research utakuta studies nyingi zimefanyika Ulaya, hapa Tanzania ni chache sana.
Sasa utafanya vipi literature review ilhali publications tunazotegemea ziko kwa kingereza?
Kwakweli hawa watu wanaopush hii agenda naona hawako serious kabisa.
Ningewaelewa kama wangesema kingereza kitumike kufundishia kuanzia elimu ya msingi hadi chuo, kiswahili kibaki kuwa somo. Nawasilisha.