nasrimgambo
JF-Expert Member
- Jan 10, 2017
- 1,858
- 2,348
katiba ya tanzania inatambua lugha mbili, nazo ni kiingereza na kiswahili
kwa wale wote wanaopuuzia kiingereza hebu rudini kwenye katiba mjifunze inasemaje kuhusu kiingereza
vinginevyo tutakuwa vituko,
watu wanatoka huko makwao kuja tanzania wakijua kuwa english is an official language here together with kiswahili,
halafu wanapopiga kambi humu nchini wanaanza kupata tabu na watu ambao kwa uvivu wao wa kujifunza lugha wanaona kiingereza kitiwe kapuni
kwa wale wote wanaopuuzia kiingereza hebu rudini kwenye katiba mjifunze inasemaje kuhusu kiingereza
vinginevyo tutakuwa vituko,
watu wanatoka huko makwao kuja tanzania wakijua kuwa english is an official language here together with kiswahili,
halafu wanapopiga kambi humu nchini wanaanza kupata tabu na watu ambao kwa uvivu wao wa kujifunza lugha wanaona kiingereza kitiwe kapuni