The Humble Dreamer
JF-Expert Member
- Oct 12, 2015
- 7,440
- 10,233
mkuu wewe, au ni moja ya refreshment, mtu akifanya hivo anaenjoy mwenyewe dah.Hata juzi tarehe 1 mahala flani tukiogelea akaingia jimama mmoja mnene kweli akaingia kuswim
Alijamba Mara 7 kwa sauti kabisa ndani ya maji kwasbb nilihesabu mpk nikasimamisha halafu anacheka tu sijui alikula nini
Kila akifanya hivyo bubbles zinapanda juu kama vile kiboko kapumua na pua
Sent using Jamii Forums mobile app
Kusugua CD ndo kufanyajeWanakojoa
Wanajamba
Hata walio period wanaswim esp baharini
Watu wanasugua CD mule ( couples + beach boys
....ila siachi
hiyo ndo raha ya sisi wazee wa kujimp , Yaani unachumpa unazama unafika kabisa mwisho wa swimming pool unaibuka mbele kama Alafu unatema maji kishujaaa hiyo moment huwa tamu sana
@Depal ni wapi apooView attachment 1316697
Mkuu upo wrong bana, weekend njoo hapo uone raha ya kukaa kwenye maji ya blue 🏊
Arusha@Depal ni wapi apoo
Pmj
Hapana mkuu, ebu wacha masihara na mtumishi wa Mungu
Ulikuwa umelewa wewe.
Sent using OPPO Mobile Phone
Wanakojoa
Wanajamba
Hata walio period wanaswim esp baharini
Watu wanasugua CD mule ( couples + beach boys
....ila siachi
Hiiii we vipi?