Gyole
JF-Expert Member
- Sep 20, 2013
- 7,007
- 7,045
Ila baharini utaendelea?
Wengine huwa wanakata gogo kabisa.
Hata baharini pia mkuu, nimeskia Kinyaa sana, hadi magogo yanakatwa humo aargh, kuna watu si wastaarabu kabisa.Ila baharini utaendelea?
Siku zote ukimchunguza bata hutaweza kumla Mkuu.
View attachment 1316379Sijawahi kuogelea katika swimming pool hata siku moja. Sababu yangu kuu ni kuogopa kama wengine wanaweza fanya yao (kukojoa).
Au nipo wrong?
Hata baharini pia mkuu, nimeskia Kinyaa sana, hadi magogo yanakatwa humo aargh, kuna watu si wastaarabu kabisa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Maji huwa yanatabiwa na madawa mbali mbali kila siku na kunakuwa na mtu special kabisa kwa ajili ya kazi hiyo. Na analipwa mwisho wa mwezi, tena hela si ndogo.
Yaani hiyo kazi ni professional kabisa watu husomea.
Huko baharini kuna uchafu wa kila aina chemba za mavi mpaka mizoga ya watu waliozama na tunaogelea mbona uhoji.
ChaiNilipewa kichapo cha kutosha, kisha nikafukuzwa pale hotel... teh
Sent using Jamii Forums mobile app
noma kweli.Hapana mkuu na ushamba ulichangia, nilidhani sionekani mzee... Nilipo bana tu kiwembe cha kimba, goma likanyenyuka kama boya....
Sent using Jamii Forums mobile app
Who moved my cheeseMkuu umesoma hicho kitabu?
Mana ulichoandika ni jibu la kitabu cha kwanza
View attachment 1316697
Mkuu upo wrong bana, weekend njoo hapo uone raha ya kukaa kwenye maji ya blue
AiseeHata juzi tarehe 1 mahala flani tukiogelea akaingia jimama mmoja mnene kweli akaingia kuswim
Alijamba Mara 7 kwa sauti kabisa ndani ya maji kwasbb nilihesabu mpk nikasimamisha halafu anacheka tu sijui alikula nini
Kila akifanya hivyo bubbles zinapanda juu kama vile kiboko kapumua na pua
Sent using Jamii Forums mobile app
Kipoje mkuu mana ninayo tayr soft copy..nataka nisome vyote viwili
Kama nilikosaga UTI nikiwa shule ndio basi tena mm kupata hivo vidudu
Ni kitabu kizuri sana Mkuu, ni cha business kama kilivyo Rich Dad Poor Dad, Mimi nilikisoma mwaka 2016 - 2017 kinakupa precautions kabla ya kufanya maamuzi aidha ya Kuquit nafasi flan ya kazi au biashara ama kuendana na mabadiliko yanayotokea katika kampuni unayoifanyia kazi.Kipoje mkuu mana ninayo tayr soft copy..nataka nisome vyote viwili