Demi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 37,393
- 79,610
😷😷 baada ya hapo ukaendelea kuogelea?Nilishawahi kunya Beach
😅😅😅 ukawaachia wenzako wapambane nalo. Kweli wahuni sio watu.
Na haiishii hapo hizo rangi zinakufata nyuma unavyoogelea na hii hupelekea kila mtu kupata fursa ya kumwona kikojozi wa kwenye swm pool.😁😁😁Kwa wenzetu kuna baadhi ya maeneo ambayo yamestaarabika, ukikojoa tu basi mkojo una react na kemikali iliuowekwa inageuza hapo hapo rangi ya maji ulipokojoa kuwa rangi fulani i.e kijani, bluu n.k
Teh hakukuwa na namna😅😅😅 ukawaachia wenzako wapambane nalo. Kweli wahuni sio watu.
Wangekuona ungekuwa wa mfano kwa wengineTeh hakukuwa na namna
Ha haaa nilikuwa mdogo kama darasa la sita hivi. Nilibanwa kiukweli.. uzuri ni kwamba haukuwa uharo, nilishuhudia yakipelekwa na mawimbiWangekuona ungekuwa wa mfano kwa wengine
Ahaaa kama ulikua mdogo hapo sawa. mawimbi yakakipeleka nchi kavu 😆😆😆Ha haaa nilikuwa mdogo kama darasa la sita hivi. Nilibanwa kiukweli.. uzuri ni kwamba haukuwa uharo, nilishuhudia yakipelekwa na mawimbi
Sent using Jamii Forums mobile app
Uzoefu wangu unanionyesha ukinya kwenye maji mavi yanapanda juu yanaelea hivyo ni rahisi kuonekana maana hayaendi mbali na mwili wako.Nilishawahi kunya Beach
Ni kweli yalikuwa yanaonekana, uzuri hakukuwa na watu wengi. Yalipelekwa na mawimbi mchangani I guess. mi sikuyaona tenaUzoefu wangu unanionyesha ukinya kwenye maji mavi yanapanda juu yanaelea hivyo ni rahisi kuonekana maana hayaendi mbali na mwili wako.
Hawajui....hata vile vibomba pembeni nahisi hawaonagi...na kile kinachokuwaga katikati cha kutolea maji au hata swimming pool hawajai kwenda wapo kutusumbua tu hapa
hukuyaona? Mmh sasa ulipomaliza ulikua unaangalia yatatokea wapi?Ni kweli yalikuwa yanaonekana, uzuri hakukuwa na watu wengi. Yalipelekwa na mawimbi mchangani I guess. mi sikuyaona tena
Sent using Jamii Forums mobile app
Sikufatilia, nilishamaliza shughuli yanguhukuyaona? Mmh sasa ulipomaliza ulikua unaangalia yatatokea wapi?