bachelor sugu
JF-Expert Member
- Jan 30, 2018
- 2,689
- 3,641
Sasa kwa mwendo huu mkuu kuna haja ya kuendelea kuunga mkono juhudi?Kizazi Cha Kambarage kimerudi Mamlakani
Ambao hamkuwepo muone 'Nchi ya asali Na Maziwa' mliokuwa mnasimuliwa Kwenye vitabu vya ' TANU YAJENGA NCHI'
Baba Na Babu zetu ilifikia hatua wanaenda kutupa Fedha zao halali baharini wengine Kuzichoma Moto kwa Kuwa ukikutwa Na kiasi Fulani Cha Fedha Nyumbani kwako Ni Kama umekutwa Na Fuvu la Binadamu
Ukienda kuomba kubadili Fedha zako kupata Fedha Za Kigeni ilikuwa ngumu Kuliko kupata dhamana ya kesi ya Jinai
Wenye Biashara Za Maduka ya Kubadilishia Fedha wamfanyiwa ya Azimio la Arusha kuporwa mali zao mchana kweupe
Sent using Jamii Forums mobile app