Hivi wananchi weliowekeza kwenye Bureau de Change hatima iko he!!

Kizazi Cha Kambarage kimerudi Mamlakani
Ambao hamkuwepo muone 'Nchi ya asali Na Maziwa' mliokuwa mnasimuliwa Kwenye vitabu vya ' TANU YAJENGA NCHI'

Baba Na Babu zetu ilifikia hatua wanaenda kutupa Fedha zao halali baharini wengine Kuzichoma Moto kwa Kuwa ukikutwa Na kiasi Fulani Cha Fedha Nyumbani kwako Ni Kama umekutwa Na Fuvu la Binadamu

Ukienda kuomba kubadili Fedha zako kupata Fedha Za Kigeni ilikuwa ngumu Kuliko kupata dhamana ya kesi ya Jinai


Wenye Biashara Za Maduka ya Kubadilishia Fedha wamfanyiwa ya Azimio la Arusha kuporwa mali zao mchana kweupe
Sasa kwa mwendo huu mkuu kuna haja ya kuendelea kuunga mkono juhudi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Serikali ya wanyonge ili kuendelea kutawala lazima itengeneze lundo la wanyonge.

Sent using Jamii Forums mobile app
Yaap, unatengeneza mazingira ambayo hawatakuwa na surplus ya kushift kutoka kwenye mode moja kwenda nyingine na hii itakusaidia kutengeneza lundo la wanyonge (vicious cycle) hapa sasa utaendeleza utawala wako wa kutawala wanyonge
 
Back
Top Bottom