cheusimangala
JF-Expert Member
- Feb 27, 2010
- 2,585
- 497
hivi kuna anayewalazimisha hawa waheshimiwa kufanya hizi shughuli?
maana mi najua wanapofanya hivi wanafanya kuonyesha mfano na kuhamasisha lkn ni nani anayefanya kazi za shambani na kimkeka ili asichafuke!
ukimtizama anavyohema .....na hilo pozi na hicho kimkeka aah tuachieni watoto wa wakulima hizi shughuli hamziwezi nyie msitutanie!