BADILI TABIA
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 32,771
- 23,156
mwekezaji Abraham wa Monduli anyunyuzia dawa /sumu kwenye majani iliyosababisha ng'ombe kadhaa kufa, na watoto 38 walazwa, baada ya kula nyama hizo ya ng'ombe .
Pia inasemekana swala na punda wafa baada ya kula majani yaliyonyunyuziwa sumu.
Source : Itv
Pia inasemekana swala na punda wafa baada ya kula majani yaliyonyunyuziwa sumu.
Source : Itv