kifupi kirefu
JF-Expert Member
- Oct 29, 2018
- 539
- 3,507
Najiuliza Ni doctrine gani waliyokuwa nayo wale waliokwenda kumfyatulia risasi Lissu. Najiuliza walidhani Lissu ndo tatizo la Tanzania ? Walidhani ugumu wao wa maisha unaletwa na Lissu? Waliaminishwa Nini Hadi wakaamua kuvaa nafsi ya mauaji?
Lakini najiuliza waliowatuma waliaminishwa na Nini kwamba anayewatuma yupo sahihi? Unapomtuma mtu kwenda kuua kiumbe kisicho na hasira unalipwa Nini au pumzi unayovuta inabadilika?
Leo Tundu yule yule waliotaka kumuua ndiyo anayewatetea Watanzania kuliko waliowatuma. Naamini hata kwa Mbowe wapo watu nchi imewashinda wanataka Askari waamini tatizo ni Mbowe. Unakabidhiwa rasilimali zote usimamie unajikita kupambana na wananchi, polisi jitafakarini mjiulize tatizo ni hao mnaowakamata Hadi nyumba za ibqda?
Lisu awafundishe mnaotumwa kujiuliza endapo mnachotumwa kina tija? Unakwenda kuua ukidhani utapata cheo kesho wanakufukuza Kama mbwa. Tendeni haki achaneni na wanasiasa wenye uchu wa kumwaga damu, siku za wamwaga damu si nyingi jitafakarini
Lakini najiuliza waliowatuma waliaminishwa na Nini kwamba anayewatuma yupo sahihi? Unapomtuma mtu kwenda kuua kiumbe kisicho na hasira unalipwa Nini au pumzi unayovuta inabadilika?
Leo Tundu yule yule waliotaka kumuua ndiyo anayewatetea Watanzania kuliko waliowatuma. Naamini hata kwa Mbowe wapo watu nchi imewashinda wanataka Askari waamini tatizo ni Mbowe. Unakabidhiwa rasilimali zote usimamie unajikita kupambana na wananchi, polisi jitafakarini mjiulize tatizo ni hao mnaowakamata Hadi nyumba za ibqda?
Lisu awafundishe mnaotumwa kujiuliza endapo mnachotumwa kina tija? Unakwenda kuua ukidhani utapata cheo kesho wanakufukuza Kama mbwa. Tendeni haki achaneni na wanasiasa wenye uchu wa kumwaga damu, siku za wamwaga damu si nyingi jitafakarini