Mtyela Kasanda
JF-Expert Member
- Oct 13, 2018
- 554
- 818
Kama kuna sehemu anapita bila kupingwa si ameshashinda tayari wajameni au mimi ndo sielewi?
kwahio mgombea uraisi wa CCM nae si anapita bila kupingwa ? Maana wa wapinzani si hatokuwepo kuhamasisha?!Ndio,hao tunawaita wabunge wa viti maalumu kupitia tume!