Yudatade Edesi Shayo
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 2,903
- 4,306
,➡️Tafsiri ya neno mlinzi ,ni mtu shupavu anayeweza kulinda au kukabiliana na hatari yoyote ikitokea!je wale vibabu vilivyo choka ndio tafsiri sahihi ya walinzi?
➡️au tunatimiza tu dhana kuwa lazima tuwe na mtu wakufungua geti siyo mlinzi?
➡️au tunatimiza tu dhana kuwa lazima tuwe na mtu wakufungua geti siyo mlinzi?