Return Of Undertaker
JF-Expert Member
- Jun 12, 2012
- 4,572
- 26,868
Nimetafakari hapa naona tuna kitu tunakijenga sio kizuri hata kidogo.
Yote ni mifugo tofauti ni wanyama pori na wakufugwa.
Kuna kila mwaka wanyama huwa wanahama kila mwaka toka Tanzania kwenda Kenya na kutoka Kenya kuja Tanzania katika kutafuta maji na malisho.
Nauliza hivi hawa wanyama hakuna nchi itakuja wazuia kuhama? Au kuvuruga hii taratibu za kuvuka mpaka na kutafuta marisho?
Yote ni mifugo tofauti ni wanyama pori na wakufugwa.
Kuna kila mwaka wanyama huwa wanahama kila mwaka toka Tanzania kwenda Kenya na kutoka Kenya kuja Tanzania katika kutafuta maji na malisho.
Nauliza hivi hawa wanyama hakuna nchi itakuja wazuia kuhama? Au kuvuruga hii taratibu za kuvuka mpaka na kutafuta marisho?