Hivi wale nyumbu na wanyama wanaohama kila mwaka tumewafikiria pia katika mahusiano na Kenya au tunaangalia ng'ombe tu?

Nimetafakari hapa naona tuna kitu tunakijenga sio kizuri hata kidogo.

Yote ni mifugo tofauti ni wanyama pori na wakufugwa.

Kuna kila mwaka wanyama huwa wanahama kila mwaka toka Tanzania kwenda Kenya na kutoka Kenya kuja Tanzania katika kutafuta maji na malisho.

Nauliza hivi hawa wanyama hakuna nchi itakuja wazuia kuhama? Au kuvuruga hii taratibu za kuvuka mpaka na kutafuta marisho?

Asante kwa kunipotezea muda kwa kushindwa kujizjia kuficha ujinga wako!!!
 
Waki wazuia watakuwa wameamua kuwaua sasa sijui watapata nini hapo lakini kwa Serikali yetu ya sasa nini kuuwa Wanyama kama tumeweza kuchoma Moto Vifaranga bila ya kujali chochote nini
Mbona unakula kukua wa kuchoma unaweka na pilipili kabisa,unashangaa nini vifaranga kuchomwa
 
Kwani kuna kitu gani kinaendelea kuhusu ng'ombe?Naomba kuelimishwa,kuuliza si ujinga
 
Nimetafakari hapa naona tuna kitu tunakijenga sio kizuri hata kidogo.

Yote ni mifugo tofauti ni wanyama pori na wakufugwa.

Kuna kila mwaka wanyama huwa wanahama kila mwaka toka Tanzania kwenda Kenya na kutoka Kenya kuja Tanzania katika kutafuta maji na malisho.

Nauliza hivi hawa wanyama hakuna nchi itakuja wazuia kuhama? Au kuvuruga hii taratibu za kuvuka mpaka na kutafuta marisho?
Nyumbu wa aina gani ama unataka kutukana watu maana kuanzia septemba wengi kwa makundi wamehamia Kenya
 
Nyumbu wa Tanzania tutawapiga chapa kwa ajili ya utambuulisho pale wanapochanganyika na wenzao wa Kenya!
Unajua inaleta ukakasi kidogo pale unapoona mtu katika karne ya 21 anaamini na kujivunia mipaka ya wakoloni. Mfano sisi hatuna mamlaka na misitu ya DRC Congo lakini uharibifu wake unaweza kutufanya sisi kukosa mvua!
Hivyo badala ya kutishiana ni bora tukakaa pamoja na kuwa na taratibu zilizo sahihi za maisha.
 
Back
Top Bottom