Ubumuntu
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 14,316
- 10,782
Hii ninishu ya nature, haizuiliki! Iko kwenye dna ya hao wanyama kwenda na kurudi.
Vivyo hivyo kwa mifugo ya wamasai! Kwa generations wametumia Serengeti-Masai Mara ecosystem. Hii ni nature pia: nature-society coexistence iliyotengenezwa kwa generations.