Ave Ave Maria
JF-Expert Member
- Apr 22, 2011
- 10,707
- 5,664
Changamsha genge!
Changamsha genge!
hiko kidude siwezi kukiweka kwenye mwili wangu hata kama mke wangu n i mtoto wa malkia .. najua hata wewe hujaivaa unajaribu tu kusherehesha jukwaa
hahahahaha ....... ww husninyo ww!! vp ikinikera naruhusiwa kuja kulalamika tena hapa?!
hahahahaahhaah weye lazma umefungasha....
habari zenyu bhaana ...... Leo asubuhi mimi na mai waifu wangu tumekubaliana tubadilishane vivazi vyetu vya ndani,yeye aka2pia ki2 cha BOXER,mimi nika2pia BIKINI nikaelekea kwnye majukumu yangu ya kulijenga taifa,sasa hapa nilipo najuta kuvaa hichi kivazi maana dah! kinanikera kinoma, kinaingia kunako kila dakika ........ndio mana nauliza wakina dada huwa mnashindaje na hichi kivazi?!!