Pole mwaya, napatia picha kinavyokubaka. . Kesho church uvae high heels zake nazo uone kama zinalipa ama vipi?
Ulikuwa hujui kumbe?? ziko google uone. ningewekea picha lakini jukwaa hili haliruhusu maadili zaidikumbe kuna bikini za kiume?!!lol
bonge moja la ushauri!
I love you KING...
Pole mwaya, napatia picha kinavyokubaka. Ila mkeo angekuwa kajaaliwa ingekupwaya kiasi. Kesho church uvae high heels zake nazo uone kama zinalipa ama vipi?
Nawe pia mpendwa wangu....nipo bwana si unajua na ulezi unakaba wakati mwingine!
Nawe pia mpendwa wangu....nipo bwana si unajua na ulezi unakaba wakati mwingine!