joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,613
Huyu jamaa ukimuangalia usoni, anaonyesha wazi kwamba amejawa na hasira sana kiasi cha kumtusi rais hadharani, pia inaonekana ni mtu katili sana yupo tayari kufanya lolote atakaloamrishwa na Rutto.
Chuki dhidi ya Raila na wajaluo inazidi kukomaa.
Mungu saidia Kenya.