Hivi wakazi wa Dar huwa hamuoni kinyaa kula mboga za majani zilizomwagiliwa maji machafu?

Msema kweli mpenzi wa Allah mboga za majani kwa sasa dar sio tamu kama zamani
 
Kuna mabondia mahili waliofika mpaka anga za kimataifa kwa hiyohiyo michicha ya bondeni na wako very stable! Sio Igunga, watu dhaiiiifu, Kofi moja breki ya kwanza ICU!
 
SIYO MBOGA MBOGA TU, HATA MAJI YETU NI MACHAFU. NENDA RUVU UKAONE MAJI YANAYOCHAKATWA NA KUWA SAAAAFI KWA KUNYWA. HALAF CHA KUSHANGAZA SISI DAR NDIYO SEHEMU PEKEE HAPA TIZII, TUNAOPATA MAJI SAFI NA SALAMA KWA %98, KULIKO SEHEMU YOYOTE TZ NZIMA.NG'OMBE, MBUZI, KONDOO NA KUKU MNAOWAFUGA HUKO KWENU, SOKO KUU LIPO DSM. HUKO KWENU KUTOKA MJI A KWENDA MJI B NAULI NI SH 3000. DSM KUTOKA KAWE MPJ MBAGALA NAULI NI SH 600. DSM NDIYO MJI PEKEE AMBAO NYNY WAMKOANI MKIFIKA HAMTAKI KURUDI KWENU. NA MNAKULA HUO HUO MCHICHA WETU. KARIBU DSM JIJI LISILOKWISHA HAMU
 
Huwa sitamani kabisa kuishi dar...marafiki waliofanikiwa kupata kazi nzuri huwa wananiita dar lakini najifiria mara mbili mbili....dar mzee wa miaka 60 kapiga mlege amejikatia tamaa ya maisha anayapeleka kama yalivyo.....huyu mzee aliingia dar akiwa na miaka 20+......mpaka leo hajatoboa na anajipa matumaini
 
SIYO MBOGA MBOGA TU, HATA MAJI YETU NI MACHAFU. NENDA RUVU UKAONE MAJI YANAYOCHAKATWA NA KUWA SAAAAFI KWA KUNYWA. HALAF CHA KUSHANGAZA SISI DAR NDIYO SEHEMU PEKEE HAPA TIZII, TUNAOPATA MAJI SAFI NA SALAMA KWA %98, KULIKO SEHEMU YOYOTE TZ NZIMA.NG'OMBE, MBUZI, KONDOO NA KUKU MNAOWAFUGA HUKO KWENU, SOKO KUU LIPO DSM. HUKO KWENU KUTOKA MJI A KWENDA MJI B NAULI NI SH 3000. DSM KUTOKA KAWE MPJ MBAGALA NAULI NI SH 600. DSM NDIYO MJI PEKEE AMBAO NYNY WAMKOANI MKIFIKA HAMTAKI KURUDI KWENU. NA MNAKULA HUO HUO MCHICHA WETU. KARIBU DSM JIJI LISILOKWISHA HAMU
Pointless
 
Kinyaa cha nini? Shuleni tulimwagilia majitaka, sewage, mboga zilistawi vizuri na zilipata afya kwa hayo majitaka toka mabafu ya mabweni, wanafunzi tulikula bila kuona kinyaa
 
Kwanza haya majitaka yanayobebwa na magari kutoka kwenye vyoo ni mbolea nzuri sana yenye amonia ya kutosha kuupa mmea rutuba. Yakimwagwa mashambani mimea huwa na afya na kuwa kijani cha kutosha
 
SIYO MBOGA MBOGA TU, HATA MAJI YETU NI MACHAFU. NENDA RUVU UKAONE MAJI YANAYOCHAKATWA NA KUWA SAAAAFI KWA KUNYWA. HALAF CHA KUSHANGAZA SISI DAR NDIYO SEHEMU PEKEE HAPA TIZII, TUNAOPATA MAJI SAFI NA SALAMA KWA %98, KULIKO SEHEMU YOYOTE TZ NZIMA.NG'OMBE, MBUZI, KONDOO NA KUKU MNAOWAFUGA HUKO KWENU, SOKO KUU LIPO DSM. HUKO KWENU KUTOKA MJI A KWENDA MJI B NAULI NI SH 3000. DSM KUTOKA KAWE MPJ MBAGALA NAULI NI SH 600. DSM NDIYO MJI PEKEE AMBAO NYNY WAMKOANI MKIFIKA HAMTAKI KURUDI KWENU. NA MNAKULA HUO HUO MCHICHA WETU. KARIBU DSM JIJI LISILOKWISHA HAMU
Miezi ya mvua inakaribia hameni mabondeni huko.
 
Wakati wa China wanajenga reli ya Tazara Mashamba yao ya mboga mboga Kurasini yalimwagiliwa na kutiwa mbolea na maji toka vyooni mwao na walikuwa na afya nzuri sana. Walijenga reli toka Dar mpaka Zambia kwa muda mfupi kuliko reli ya Magu toka Dar/Moro tena kwa mikono.
Mwisho samadi mnayotumia nyie washamba ni kinyeshi pia.
 
Mnakula sana bamia na mboga za majani maana ndio chakula kikuu. Sio kama mikoani kuna vitoeo kibao.

Lakini mboga za majani mnazokula zinalimwa mabondeni na humwagiliwa maji machafu ya kinyesi.

Mimi nikiwa zangu Igunga ni kula kuku,nyama ya ng'ombe na mbuzi. Mboga za majani zinakuwepo kama kicholombwezo.

Watu wa Dar hamuoni kinyaa kula kinyesi na uchafu?
Usichojua ni kuwa asilimia 80% ya wakazi wa dar wanakula mboga kutoka mikoa ya karibu alfajiri Kuna magari fuso na canter nyingi Sana zonaleta majani kutoka pwani, morogoro, tanga
 
Kinyaa umeona kwenye mboga tu lakjni kwenye mambo yetu ya faragha mbona watu wananyonya na kulamba pasipo kutapika pamoja na kuwepo kwa fangasi
 
Back
Top Bottom