Hawana alternative, inawabidi wale hivyo hivyoMnakula sana bamia na mboga za majani maana ndio chakula kikuu. Sio kama mikoani kuna vitoeo kibao.
Lakini mboga za majani mnazokula zinalimwa mabondeni na humwagiliwa maji machafu ya kinyesi.
Mimi nikiwa zangu Igunga ni kula kuku,nyama ya ng'ombe na mbuzi. Mboga za majani zinakuwepo kama kicholombwezo.
Watu wa Dar hamuoni kinyaa kula kinyesi na uchafu?
Kwakweli hakirudi unaenda kutoa msalani kinamwagilia tena unakutana nacho mezani.burdaaanView attachment 2002040
Potelea pote kwani nikimeza kinarudi
SwadaktaaaKwakweli hakirudi unaenda kutoa msalani kinamwagilia tena unakutana nacho mezani.burdaaan
Una takwimu za kuthibitisha hili ni tatizo?Mnakula sana bamia na mboga za majani maana ndio chakula kikuu. Sio kama mikoani kuna vitoeo kibao.
Lakini mboga za majani mnazokula zinalimwa mabondeni na humwagiliwa maji machafu ya kinyesi.
Mimi nikiwa zangu Igunga ni kula kuku,nyama ya ng'ombe na mbuzi. Mboga za majani zinakuwepo kama kicholombwezo.
Watu wa Dar hamuoni kinyaa kula kinyesi na uchafu?
Ukiona Mchina anavyo-recycle mbolea ya binadamu kwenye Chinese Spinach (7 dys anavuna) utawapakia wote kwenye Dreamliner. Tulikuwa nao Ngerengere.Una takwimu za kuthibitisha hili ni tatizo?
Sound like your stupidmboga Bora duniani na inayokibalika mwanalumumba ni nyama nyeupe ,mboga zamajani na maharage tafiti kisayansi
Unalalamika mboga zawezako kumwagiliwa na majitajwa kwani hawana maji ya kuoshea kua na adabu wewe
Mnakula manyama yambuzi ,ng'ombe harafu ukifika miaka 40 unaaza kutusumbua kutugongea milango eti nakuja Nina clinic muhimbili na Dr hhh...falani wafarabushing mkubwa wewe
Muda mfupi miaka mingapi?Wakati wa China wanajenga reli ya Tazara Mashamba yao ya mboga mboga Kurasini yalimwagiliwa na kutiwa mbolea na maji toka vyooni mwao na walikuwa na afya nzuri sana. Walijenga reli toka Dar mpaka Zambia kwa muda mfupi kuliko reli ya Magu toka Dar/Moro tena kwa mikono.
Mwisho samadi mnayotumia nyie washamba ni kinyeshi pia.
tuheshimiane idugunde plsSound like your stupid