FirstLady1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 16,792
- 5,374
Jamani nimeanza kuuliza hilo swali baada yakuona kisa na mkasa sehemu today nikiwa nimefika tu home nikitokea church...Binti wa kazi kumbe katoka kwao kwa shughuli maalum ,,
Katika kupanga panga nguo zake mara madubwasha yakadondoka...kalikuwepo katoto ka 5 yrs chumbani na dada wa kazi kakamuuliza dada nini hii..Binti kamwambia ni dawa za tumbo mara mtoto akamwita mama yake aje kuona ...mama kuingia chumbani aliyoyakuta kapigwa butwaa kitanda kimejaa mavitu ya ajabu si vibuyu ,,...si miti ya aina mbali mbali..madude meusi ya kutisha mama kachanganyikiwa ...
kaita majirani msichana wa kazi kaanza kulia anaulizwa kwa nini katembea na miti shamba kagoma kusema alipotishiwa sana kama anapelekwa police ndipo aliposema mama yake kamwambia aangalie kama mme wa huyo mama ana uwezo aanze kuogea dawa na zingine aangalie mama akiwa hayupo ajitahidi kumuwekea baba kwenye chakula anachokula ili baba amwache mkewe binti aolewe..
Na kama baba atakuwa hana uwezo atafute sehemu nyingine .....mama wa watu kumuuliza binti kama alishaanza kumuwekea mmewe kakataa kata kata eti ndo alikuwa anataka kuanza ..
Hii kesi bado inaendelea kwa mama wa binti kutafutwa... swali ....
1. Hivi kumbe kuna mambo yanayoendelea pasipo nyie kujitambua ?
2.Kina mama inabidi tuwaombee waume zetu sana
3.Ni lazima kukagua mabegi ya mabinti zetu wakifika??
4..Hivi haya mambo ya ukalumanzira yapo ??
Ooooops!!
Katika kupanga panga nguo zake mara madubwasha yakadondoka...kalikuwepo katoto ka 5 yrs chumbani na dada wa kazi kakamuuliza dada nini hii..Binti kamwambia ni dawa za tumbo mara mtoto akamwita mama yake aje kuona ...mama kuingia chumbani aliyoyakuta kapigwa butwaa kitanda kimejaa mavitu ya ajabu si vibuyu ,,...si miti ya aina mbali mbali..madude meusi ya kutisha mama kachanganyikiwa ...
kaita majirani msichana wa kazi kaanza kulia anaulizwa kwa nini katembea na miti shamba kagoma kusema alipotishiwa sana kama anapelekwa police ndipo aliposema mama yake kamwambia aangalie kama mme wa huyo mama ana uwezo aanze kuogea dawa na zingine aangalie mama akiwa hayupo ajitahidi kumuwekea baba kwenye chakula anachokula ili baba amwache mkewe binti aolewe..
Na kama baba atakuwa hana uwezo atafute sehemu nyingine .....mama wa watu kumuuliza binti kama alishaanza kumuwekea mmewe kakataa kata kata eti ndo alikuwa anataka kuanza ..
Hii kesi bado inaendelea kwa mama wa binti kutafutwa... swali ....
1. Hivi kumbe kuna mambo yanayoendelea pasipo nyie kujitambua ?
2.Kina mama inabidi tuwaombee waume zetu sana
3.Ni lazima kukagua mabegi ya mabinti zetu wakifika??
4..Hivi haya mambo ya ukalumanzira yapo ??
Ooooops!!