Hivi wakati mwingine huwa tunalaumu wanaume pasipo kujua?

FirstLady1

JF-Expert Member
Jul 29, 2009
16,792
5,374
Jamani nimeanza kuuliza hilo swali baada yakuona kisa na mkasa sehemu today nikiwa nimefika tu home nikitokea church...Binti wa kazi kumbe katoka kwao kwa shughuli maalum ,,
Katika kupanga panga nguo zake mara madubwasha yakadondoka...kalikuwepo katoto ka 5 yrs chumbani na dada wa kazi kakamuuliza dada nini hii..Binti kamwambia ni dawa za tumbo mara mtoto akamwita mama yake aje kuona ...mama kuingia chumbani aliyoyakuta kapigwa butwaa kitanda kimejaa mavitu ya ajabu si vibuyu ,,...si miti ya aina mbali mbali..madude meusi ya kutisha mama kachanganyikiwa ...
kaita majirani msichana wa kazi kaanza kulia anaulizwa kwa nini katembea na miti shamba kagoma kusema alipotishiwa sana kama anapelekwa police ndipo aliposema mama yake kamwambia aangalie kama mme wa huyo mama ana uwezo aanze kuogea dawa na zingine aangalie mama akiwa hayupo ajitahidi kumuwekea baba kwenye chakula anachokula ili baba amwache mkewe binti aolewe..
Na kama baba atakuwa hana uwezo atafute sehemu nyingine .....mama wa watu kumuuliza binti kama alishaanza kumuwekea mmewe kakataa kata kata eti ndo alikuwa anataka kuanza ..

Hii kesi bado inaendelea kwa mama wa binti kutafutwa... swali ....

1. Hivi kumbe kuna mambo yanayoendelea pasipo nyie kujitambua ?
2.Kina mama inabidi tuwaombee waume zetu sana
3.Ni lazima kukagua mabegi ya mabinti zetu wakifika??
4..Hivi haya mambo ya ukalumanzira yapo ??

Ooooops!!
 
First Lady 1, please forgive me kwa urefu wa post….

Inasikitisha sana mambo ambayo yanatokea katika jamii na hasa katika ndoa… Imekua ni mtihani kwa kweli… Sijui kama nitakua natoka off topic (sorry – kueleweka nataka nidadafue the way naelewa).

Kutokana na ukweli kua maisha yamebadilika sana in every level hivyo kupanda kwa gharama kila sehemu ugusayo hasa ukitaka kitu quality ili kupata huduma ya uhakika iwe education, malazi/makazi, matibabu, chakula, - facts zinazofanya wenza wote wawili mujishulishe hivyo kama mna watoto mnamtafuta binti wa kuwasaidia… Tatizo ndo linakuja hapo.. NDIO akina dada tuko busy saaana lakini jamani are we so busy to the extent huwezi nyanyua kidole hata kidogo??? – Nauliza/nasema hivi in the sense kua NDIO Msichana wako anakupa support katika kuendesha/kuangalia nyumba lakini je kuna haja ya kumpa full access kwa mumeo… kwa mtazamo wangu wadada/mama wengine huyataka mambo kama haya ya kwenye thread hii kuwatokea tokana na the way anendesha mambo yao katika ndoa yake….

Kwanini umpe msichana wako FULL ACCESS kwa mumeo???? Ladies if you love your man and proud of him at all cost minimize vitu/mambo yawezao kumshawishi (akina mama tuna njia tofauti hii ni kwa wale wataoona I am right) … Kama Speaker alivyosema katika moja ya post.. "Never let your man's mind wander .... " Hivyo akina dada/mama tujiulize je wewe personaly umempa msichana wako (maarufu kwa house girl) Full Acces OR No Access kwa mumeo???
FULL ACCESS

Anaingia chumbani kwenu (eti kufanya usafi…lol!) na worse enough yeye ndo anatandika kitanda ambacho wewe na hubby mnajimwaya; Anapika mwenyewe (si mbaya sana) but worse enough yeye ndo anaandaa chakula na kumkaribisha hubby mezani..; Anampokea mizigo akifika – in other words mumeo anatangulia kufika kabla yako kila siku (bad news - kwa wale ambao iko nje ya uwezo …); Ndio afue nguo (for maybe you have no time) but ziwahi hakuna haja ya hubby kuulizia soksi ikowapi which at the end of the day atamfuata binti kumuuliza mana anajua wazi hufui wewe…. Etc.

NO ACCESS
Huna nafasi ya kupika, but unahakikisha umekagua chakula, umeandaa mwenyewe na umemkaribisha mwenyewe mezani, Ndio nguo hafui but at least anahakiki zimetakata zimenyoshwa vizuri na zinarudishwa room kabla hubby hajazimiss..; Ana hakikisha kila mumewe anpokuwepo nyumbani yupo tayari home' labda in rare cases plus kujitahidi kurudi kabla ya the hubby… etc. Kwa ufupi kutojenga mazingira ya wao kuwa karibu…. House girl awe karibu na watoto…. BUT not the husband

Note; Wanaume hawalindiki hasa akiwa na nia but at least ikitokea utasema "I tried my best but he is just a Ba****"

 
First Lady 1, please forgive me kwa urefu wa post….

Inasikitisha sana mambo ambayo yanatokea katika jamii na hasa katika ndoa… Imekua ni mtihani kwa kweli… Sijui kama nitakua natoka off topic (sorry – kueleweka nataka nidadafue the way naelewa).

Kutokana na ukweli kua maisha yamebadilika sana in every level hivyo kupanda kwa gharama kila sehemu ugusayo hasa ukitaka kitu quality ili kupata huduma ya uhakika iwe education, malazi/makazi, matibabu, chakula, - facts zinazofanya wenza wote wawili mujishulishe hivyo kama mna watoto mnamtafuta binti wa kuwasaidia… Tatizo ndo linakuja hapo.. NDIO akina dada tuko busy saaana lakini jamani are we so busy to the extent huwezi nyanyua kidole hata kidogo??? – Nauliza/nasema hivi in the sense kua NDIO Msichana wako anakupa support katika kuendesha/kuangalia nyumba lakini je kuna haja ya kumpa full access kwa mumeo… kwa mtazamo wangu wadada/mama wengine huyataka mambo kama haya ya kwenye thread hii kuwatokea tokana na the way anendesha mambo yao katika ndoa yake….

Kwanini umpe msichana wako FULL ACCESS kwa mumeo???? Ladies if you love your man and proud of him at all cost minimize vitu/mambo yawezao kumshawishi (akina mama tuna njia tofauti hii ni kwa wale wataoona I am right) … Kama Speaker alivyosema katika moja ya post.. "Never let your man's mind wander .... " Hivyo akina dada/mama tujiulize je wewe personaly umempa msichana wako (maarufu kwa house girl) Full Acces OR No Access kwa mumeo???
FULL ACCESS

Anaingia chumbani kwenu (eti kufanya usafi…lol!) na worse enough yeye ndo anatandika kitanda ambacho wewe na hubby mnajimwaya; Anapika mwenyewe (si mbaya sana) but worse enough yeye ndo anaandaa chakula na kumkaribisha hubby mezani..; Anampokea mizigo akifika – in other words mumeo anatangulia kufika kabla yako kila siku (bad news - kwa wale ambao iko nje ya uwezo …); Ndio afue nguo (for maybe you have no time) but ziwahi hakuna haja ya hubby kuulizia soksi ikowapi which at the end of the day atamfuata binti kumuuliza mana anajua wazi hufui wewe…. Etc.

NO ACCESS
Huna nafasi ya kupika, but unahakikisha umekagua chakula, umeandaa mwenyewe na umemkaribisha mwenyewe mezani, Ndio nguo hafui but at least anahakiki zimetakata zimenyoshwa vizuri na zinarudishwa room kabla hubby hajazimiss..; Ana hakikisha kila mumewe anpokuwepo nyumbani yupo tayari home' labda in rare cases plus kujitahidi kurudi kabla ya the hubby… etc. Kwa ufupi kutojenga mazingira ya wao kuwa karibu…. House girl awe karibu na watoto…. BUT not the husband

Note; Wanaume hawalindiki hasa akiwa na nia but at least ikitokea utasema "I tried my best but he is just a Ba****"


swirry thanx so much kwa maelezo mazuri sana ..na tulio kwenye ndoa tunajitahidi kufanya wajibu wetu juu ya wenza wetu ...swali langu hapa ni hili la kumkamata mwenza wako kwa nguvu za giza...hapa ndpo pamenishangaza mwenzio....:smow:
 
swirry thanx so much kwa maelezo mazuri sana ..na tulio kwenye ndoa tunajitahidi kufanya wajibu wetu juu ya wenza wetu ...swali langu hapa ni hili la kumkamata mwenza wako kwa nguvu za giza...hapa ndpo pamenishangaza mwenzio....:smow:


Naelewa dear ndo mana nikaomba msamaha kidogo kutoka off point....
Ila samahani sijaelewa kumkamata mwenza na nguvu la giza... Si ni the house gal ndo alikutwa???
 
Naelewa dear ndo mana nikaomba msamaha kidogo kutoka off point....
Ila samahani sijaelewa kumkamata mwenza na nguvu la giza... Si ni the house gal ndo alikutwa???

hause gal kumkamata mwenza wako na nguvu za giza sorry hizi lugha Asha D
 
Kweli inasikitisha sana na haya mambo yapo sana tu siku izi na wengi wanaangalia hapa kuna nini cha kujinufaisha ndo anaanza kuhangaika nacho.
Lakini ukweli utabaki palepale hakuna nguvu kubwa kama kusali na kumtegemea Mungu.Tuchukulie ni mama anayejali sana familia yake na majukumu yake ya kikazi yanamuhitaji kusafiri na wakati mwingine kuchelewa kuwepo nyumbani utasema unalinda ,utalinda kwa nguvu zipi.Unaweza usimpe nafasi ya kuwa karibu na mumeo lakini akawa na dawa hata za kumuita mtu kwa jina akiwa usingizini.

Kikubwa ni kusali na yeye mwenyewe kukubali na kuamua kufanya mema kwa ajili ya familia yake
 
hause gal kumkamata mwenza wako na nguvu za giza sorry hizi lugha Asha D



Mpenzi hio imagination tu inanifanya niwe na hasiraaa ile mbayaaaaa........ Niseme tu ukweli hapa FL1 - sielewi nitakafanya nini hako kabinti.... kweli sijui dear.... Mana nikiangalia upande wake ni kua she is young (mara nyingi hua hivyo) na anaoneka kalelewa katika malezi ya kuonesha she has to do anything to steal a man... tatizo liko sana kwa mamake... sijui niseme kwa bibi yake... mana tabia hizi za ushirikina zipo kurithishana for inakua controlled na imani...

But all in all .... Sijui nitamfanya nini huyo binti,,,, kweli sijui..... Ndo maana FL1 my man will be taken care by me! me! me! in my home... Bcoz I try my best by doing what i think is best... Mi mvumilivu na napenda ku-reason-Hivyo hunipa nafasi kua mwanaume anaponitubua hakuna la ziada ninaloweza fanya ili nimfurahishe.... akileta upuuzi usiokua na msingi wala hauteteki....SIMTAKI TENA.... (naona natoka tena off topic)
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Tena hapo ushukuru umkamate kabla hizo konokono alizobeba hajamlisha mumeo.

Mpenzi hio imagination tu inanifanya niwe na hasiraaa ile mbayaaaaa........ Niseme tu ukweli hapa FL1 - sielewi nitakafanya nini hako kabinti.... kweli sijui dear.... Mana nikiangalia upande wake ni kua she is young na anaoneka kalelewa katika malezi ya kounesha she has to do anything to steal a man... tatizo liko sana kwa mamake... sijui niseme kwa bibi yake... mana tabia hizi za ushirikina zipo kurithishana for inakua controlled na imani...

But all in all .... Sijui nitamfanya nini huyo binti,,,, kweli sijui.....
 
Tena hapo ushukuru umkamate kabla hizo konokono alizobeba hajamlisha mumeo.


Ndo hapo Chauro.... Mana ikitokea kakupiku tushazoea kuwa laumu wanaume, ningechulia kua mume wangu ana tamaa... Sasa ndo nimemkamata hivyo kabla.... ha ha ha..... kama nilivyosema sielewi nini nitafanya..... Ninachoelewa ni kua atajuta!!!!!!!!!
 
Mosi, penzi halina mitishamba.

Pili, mimi kama mimi hakuna mwanamke atakayenifanya nimpende pasipo mimi mwenyewe kumtamani na kutaka kulala naye. Hivyo kama ningekuwa na mke halafu nitoke nje ya ndoa basi huyo mke wangu ana haki ya kuzielekeza lawama zote, shutuma zote, na adhabu yoyote au zozote zile atakazoona zinafaa kwangu mimi. Kuelekeza nguvu na hasira kwa mtu niliyecheat naye ni sawa na kupaka rangi upepo! Tatizo siyo yule nilicheat naye. Tatizo ni mimi niliyecheat.

Tatu, huyo mama kwenye hiki kisanga ni aongee tu na mumewe ajue kinachoendelea. Kwani hata akimfukuza huyo msichana wa kazi hiyo haimaanishi huyo mumewe hawezi kutoka nje ya ndoa. Kudili na msichana wa kazi, narudia tena, ni sawa na kupaka rangi upepo!!!!
 
Kwa hali hii kuna haja ya kua mnawapeleka wasichana wa kwenye maombezi na kuchunguza familia zao kidogo kabla hamjawakabizi mamlaka ya kuangalia familia zenu!!

Ila kama alivyoelezea partner wangu hapo juu jaribuni na jitahidini sana contact kati ya baba mwenye nyumba na dada wa kazi yawe minimum!!!Maana ikiwa hivyo hata kwa hizo tinguli na madawa msichana hatapata mwanya wa kumchanganyia mumeo.Hata mlango wa chumba chenu ikibidi unafunga mpaka mtakaporudi kwahiyo kama aliambiwa awaekee chini ya godoro anakosa mwanya....usafi unafanya mwenyewe
weekend....chakula unajitahidi kupika kila unapoweza msije mkalishwa vitu vya ajabu ajabu!!!

Mama wa kwanza kweli wakati mwingine inaweza kutokea isiwe mwanaume wala mwanamke mwenye kosa....ongezeni maombi wamama!!!!
 
Mosi, penzi halina mitishamba.

Pili, mimi kama mimi hakuna mwanamke atakayenifanya nimpende pasipo mimi mwenyewe kumtamani na kutaka kulala naye. Hivyo kama ningekuwa na mke halafu nitoke nje ya ndoa basi huyo mke wangu ana haki ya kuzielekeza lawama zote, shutuma zote, na adhabu yoyote au zozote zile atakazoona zinafaa kwangu mimi. Kuelekeza nguvu na hasira kwa mtu niliyecheat naye ni sawa na kupaka rangi upepo! Tatizo siyo yule nilicheat naye. Tatizo ni mimi niliyecheat.

Tatu, huyo mama kwenye hiki kisanga ni aongee tu na mumewe ajue kinachoendelea. Kwani hata akimfukuza huyo msichana wa kazi hiyo haimaanishi huyo mumewe hawezi kutoka nje ya ndoa. Kudili na msichana wa kazi, narudia tena, ni sawa na kupaka rangi upepo!!!!
Watu kibao wapo na watu ambao hata hawajawahi uwatamani....ngoja uendewe bwagamoyo ndo utajua!
 
Kwa hali hii kuna haja ya kua mnawapeleka wasichana wa kwenye maombezi na kuchunguza familia zao kidogo kabla hamjawakabizi mamlaka ya kuangalia familia zenu!!

Ila kama alivyoelezea partner wangu hapo juu jaribuni na jitahidini sana contact kati ya baba mwenye nyumba na dada wa kazi yawe minimum!!!Maana ikiwa hivyo hata kwa hizo tinguli na madawa msichana hatapata mwanya wa kumchanganyia mumeo.Hata mlango wa chumba chenu ikibidi unafunga mpaka mtakaporudi kwahiyo kama aliambiwa awaekee chini ya godoro anakosa mwanya....usafi unafanya mwenyewe
weekend....chakula unajitahidi kupika kila unapoweza msije mkalishwa vitu vya ajabu ajabu!!!

Mama wa kwanza kweli wakati mwingine inaweza kutokea isiwe mwanaume wala mwanamke mwenye kosa....ongezeni maombi wamama!!!!



Thanks partner...
 
Watu kibao wapo na watu ambao hata hawajawahi uwatamani....ngoja uendewe bwagamoyo ndo utajua!

Aaah wapi! Penzi halina mitishamba bana. Kwanza uchawi haupo. Kama upo basi nawapa rukhsa hao wachawi waniloge tuone kitakachotokea.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom