Red Giant
JF-Expert Member
- Mar 9, 2012
- 15,658
- 20,889
Mi binafsi nadharau huo mfumo naona kama umepitwa na wakati na hauna mana. Pia naona kama dunia ya sasa haki ya kutawala haipaswi kutokana na kuzaliwa japo kiukweli hiyo familia haina nguvu kivile. Waingereza wenyewe wanaonaje, wanajivunia au ni kitu kinachowafedhehesha?