Hivi Waganda wana tatizo gani?

Waganda kwanza ni wamimi sana alafu kitu kingine huwa wana embress their locals language plus English only...they are not good with interractions ....so i dont surprised by them
 
Kwa nini Waganda siyo wengi JamiiForums au hawafahamu kuwa kuna JF inayozungumzia maswala ya Afrika Mashariki, tatizo nini maana hapa EA news hata Kingereza kinatumika?
Watakuwa na forums zao ambazo pia wakenya utawakuta wengi huko nao watakuwa wanashangaa kama wewe kwanini watanzania hatuko huko au shida kingereza
 
Asikudanganye mtu Wabanganda hawawapendi Watanzania na Kiswahili kwa ujumla! Wote niliopata kukutana nao wanadai Nyerere aliwadhulumu kwa kuwa rafiki wa Obote na kuwanyima fursa ya kuitawala Uganda kama kabila kubwa. Pia wanaichukia TPDF na mtoto wake UPDF! Kingine suala la Uganda ku-support infrastructure kuja Tanzania ina sura nyingi! Na imetokana na topographic nature na geopolitics of the region!

Ironically If it was for Museveni wishes all SGR to Rwanda n South Sudan would have to pass through Uganda first, meaning an exposure of the future of these 2 countries to another landlocked country while strategically giving Uganda a more influence on regional affairs!

A thing these 2 countries find securitywise unpragmatic since each can have access to the sea direct through one coastal country n hence minimising the risk to bargain with 2 regimes to access the seas! As for Rwanda has already backed down from COW said to be the reason for their recently bad blood with Uganda as Museveni feels his economic big agenda for the region is betrayed! But South Sudan is left hanging due to its instability at home n a strong grip by Museveni on its affairs.

Another issue here is indecisiveness by Kenya as it's was left hanging with no choices on where to put much weight. Her neglect of her Northern frontier made them vulnerable to Uganda chess game as far as south Sudan is concerned! Insecurity up north couldn't help it either.

Kenya wants both south Sudan n Uganda n counted heavily on Uganda's generosity towards LAPSSET not knowing South Sudan is Museveni's token to his economic n geopolitical influence. Any access to that country outside Uganda is a threat to Uganda's interests there having invested on infrastructure! A reason they gunned for a pipeline to Mombasa during route negotiations.

To me the opportunities to Tanzania availed itself on silver platter due to first, the contradicting self interests btn Museveni n Kagame in one side. And secondly the underestimation of Tanzania by Kenya towards Uganda's oil. Kenya believied it can't be bypassed n therefore failed to do effective diplomatic manouvres that could offer a win win scenario to Uganda's regional interests. Not to forget is how JPM capitalised on the situations by strategically vesting all the resources to the great Lake region from his first budget upon ascending to power.

As for now Uganda is playing cat n mouse game, her plan for SGR is shelved not instead took a loan to revamp railway to Gulu. Museveni knows Uganda is that bride wanted by two potential suitors n no matter what circumstances two SGRs will reach lake Victoria though who will be first is unknown!

Unlike JK's era that put much emphasis to the Southern gas resources, JPM is playing a waiting game n the recent floods that destroyed much of Nacala port in Mozambique have come to his aid in disguise! The momentum to first LNG by multinational companies at Cabo Delgado in Mozambique has cooled down.

Even attempts by rival Kenya to draw Tanzania's attention to the south through bypassing central corridor is quashed! All landlocked countries of Malawi, Zimbabwe n Zambia r back in full gear back to Dar port giving more time to Mtwara port expansion n a remaining road link to Malawi to finish. Who knows probably a railway will come after as Malawi seem enticed with her massive coal needs a shorter gateway to overseas.
Siyo kweli mimi nimesoma na nimeisha uganda, na kuishi huko kwa miaka 6. Waganda wanawapenda sana watanzani na wakikuona Mtanzania wanakuwa friendly sana. Na pia wanapenda Kiswahili nimeshangaa sana uliposema kwamba wanachukia Watanzania siyo kweli hata kidogo.
Hao uliokutana nao sijui ni wangapi ila sehemu Mtanzania ukiwa Uganda utapata marafiki wengi tena wana feel proud kuwa rafiki yako kabisa.
 
Jamani sisi tunajisikia sana tuko juu kwa kutema Yai msituchezee kabisa! hatuna Muda na vilugha visivyokuwa na mashiko! Africa nzima sisi ndiyo tuko juu! kuongea kiingereza grammatically correct ni usipime! si unaona Mkapa alisomea huku! Mimi ni Mganda but Nyanya yangu Mkenya, mama Mtanzania.
 
Hehehe!! Sio masifa, nimeeleza wapi tatizo lilipo na kuwapa mifano ya Kenya inayopaswa kuigwa.
hatuna cha kuiga kenya, sasa tumewachoka, vya bure tz hamna, mtauza kwa shida, eti tukomboe kusini mwa afrika, tuikomboe uganda, NYAGAU ANAKULA SHUSHU NA BEBERU TU, LEO BIASHARA MNATAKA MFANYE NYIE, TUTAWANYOOSHA, BOMBA LA MAFUTA LINAWAUMA SANA, NA BADO MOMBASA ITAKUWA BANDARI YENU WENYEWE!!!!!!!! HAPA KAZI TU
 
Huo ni uongo uliopitiliza, uzuri nimekaa na waganda ndani ya Tanzania, Uganda kwenyewe na nje ya Afrika. They are among the humble Afrikans.

Wee ni lini ulikutana na mTanzania nje ya Tanzania akawa muoga??

Usiniambie kwamba walikataa kukwapua ndiyo ikawa kipimo chako cha uoga. Maana nyie neno aggressive mnalitumia tofauti. Nyie kwenu kuiba ndiyo aggressiveness.
Nilikaa uganda kwa wiki moja, nili-enjoy sana. Niwakarimu sana kwa wageni, very humble and friendly indeed! Pia wanatuheshimu sana watu kutoka Tanzania!
 
Tatizo lipo kwenye lugha, mnalazimisha Kiswahili kwa kila mtu, nakumbuka humu walikua wanakuja Wanijeria na watu wa Afrika Kusini, mada inajadiliwa kwa Kingereza, Watanzania wanajibu jibu humo kwa Kiswahili hadi jamaa wanahisi kama wamebaguliwa.

Mnafaa mjifunze kuwa na uwezo wa kuzungumza lugha kadhaa, sio unadumaa kwenye lugha moja miaka yote, akija mtu wa Ghana unatema yai, akiibuka Mkenya unabadilisha na kutiririka Kiswahili. Ujanja wa lugha ni kitu cha muhimu. Na pia hata sayansi imebaini kwamba watu wenye uwezo wa kuongea lugha zaidi ya moja huongeza akili na maarifa.

Sisi Wakenya tunachangamkia lugha zetu za asili, pia Kiswahili na Kingereza, hapa nyumbani wanangu wanaachia hadi Kifaransa na kuniacha nimedata, ukizingatia pia nimekua nahakikisha wanaongea lugha yangu ya asili yaani Kikikuyu.

Kwenu huko hadi mkulu ameogopa kutoka ndani ya nchi akidai kubana matumizi, ila inafahamika tatizo lipo kwenye lugha maana kule kwa mabeberu bila kutema yai mambo hayaendi. Leo hii hata Wachina na Warusi wote wanahangaika kujifunza Kingereza.
Well explained
 
Mimi kwa maoni yangu ni bora hata wangeweka Forum ya Rwanda/Burundi kuliko Uganda, kwani habari za Rwanda/Burundi hata ni nyingi zaidi klk za Uganda, Warundi/Nyarwanda TZ in wengi zaidi kuliko Waganda.
Na kiswahili wanaongea pia.JF changamkieni hii fursa ya kuweka subforums za Rwanda na Burundi
 
Kwa nini Waganda siyo wengi JamiiForums au hawafahamu kuwa kuna JF inayozungumzia maswala ya Afrika Mashariki, tatizo nini maana hapa EA news hata Kingereza kinatumika?
JF zaidi ni kiawahili na ni waganda wachache sana huongea kiswahili tofauti na Kenya. Kenya wazungumza English na Kiswahili karibia wanalingana tofauti na Uganda wazungumza zaidi English na Kiganda kiswahili ni kwenye majeshi zaidi sababu walifunzwa na Tanzania baada ya Amini kupinduliwa
 
Tatizo lipo kwenye lugha, mnalazimisha Kiswahili kwa kila mtu, nakumbuka humu walikua wanakuja Wanijeria na watu wa Afrika Kusini, mada inajadiliwa kwa Kingereza, Watanzania wanajibu jibu humo kwa Kiswahili hadi jamaa wanahisi kama wamebaguliwa.

Mnafaa mjifunze kuwa na uwezo wa kuzungumza lugha kadhaa, sio unadumaa kwenye lugha moja miaka yote, akija mtu wa Ghana unatema yai, akiibuka Mkenya unabadilisha na kutiririka Kiswahili. Ujanja wa lugha ni kitu cha muhimu. Na pia hata sayansi imebaini kwamba watu wenye uwezo wa kuongea lugha zaidi ya moja huongeza akili na maarifa.

Sisi Wakenya tunachangamkia lugha zetu za asili, pia Kiswahili na Kingereza, hapa nyumbani wanangu wanaachia hadi Kifaransa na kuniacha nimedata, ukizingatia pia nimekua nahakikisha wanaongea lugha yangu ya asili yaani Kikikuyu.

Kwenu huko hadi mkulu ameogopa kutoka ndani ya nchi akidai kubana matumizi, ila inafahamika tatizo lipo kwenye lugha maana kule kwa mabeberu bila kutema yai mambo hayaendi. Leo hii hata Wachina na Warusi wote wanahangaika kujifunza Kingereza.
Umeanza vizuri ila umemalizia vibaya (kishabiki)
 
Umeanza vizuri ila umemalizia vibaya (kishabiki)

Huwa siandiki nikiwa na kusudi la kumfurahisha kila msomaji, humu kila mmoja ana uhuru wa kuandika aonavyo kwa mtazamo wake na ndio maana imewakera sana wakulu wenu hadi wanamburuza mkurugenzi wa Jamii Forums mahakamani.
 
Interaction Kati ya Tz na Kenya. Hasa kwa active towns(cities) Ni kubwa kuliko ya UG.
Language pia inayotumiwa na Tz na Ke kwa kiasi kikubwa na moja. Eng. Na Kisw.

Na kwa mda Tz na Ke wote wamekua na freedom kubwa ya Expression na mengine.
Hatujui kuendako Kama itakua hivyo hivyo. Inawezekana hata one of our countries itapunguza kwa kiasi kushiriki mijadala ya humu.
 
Kwa nini Waganda siyo wengi JamiiForums au hawafahamu kuwa kuna JF inayozungumzia maswala ya Afrika Mashariki, tatizo nini maana hapa EA news hata Kingereza kinatumika?

Waganda wamechoka na kelele za wakenya!!
Ujue wakenya n wajinga wanapandikiza ujinga kwa nguvu kwa watu
 
Nimesoma nao USSR..walikuwa ni watu wakujiona sana, hawataki hata kuongea kiswahili...yaani utadhani sio wa east Africa...rafiki zangu wakikuwa wakenya tu.
Kwani kiswahili ni Lugha ya East Africa ama ni Tanzania na KE.

Tusipende kulaumu vitu vya kijinga, kila nchi iko na hasiri yake. Kwa upande wangu sioni kama kuna shida kwa waganda kutokuwanasi hapa JF.
 
  • Thanks
Reactions: Qwy
Wamejaa hapa Kenya bro so sielewi unamaanisha Nini kuwa hawachanganyiki na watu wengine? Mganda akija Tz alafu uanze ze zez ze ze si unaona tayari atajiskia kubaguliwa.
Kiukweli Waganda wengi hawajui kiswahili kabisa, mim nimeishi nao South Africa na nilikuwa nimefanya nao kazi kwenye maofisi yao mbalimbali ni watu wenye upendo na jamii yote ya East Africa na hawakuwai kunibagua. ila wana ukaribu sana na Wakenya na hii yote ni kwasababu ya Lugha kutupiga chenga.
 
Kwani kiswahili ni Lugha ya East Africa ama ni Tanzania na KE.

Tusipende kulaumu vitu vya kijinga, kila nchi iko na hasiri yake. Kwa upande wangu sioni kama kuna shida kwa waganda kutokuwanasi hapa JF.
Unajuwa Kuna watu wengine Kama mafala, Sasa unawalazimisha kuongea kiswahili ikiwa sio Lugha yao.
 
Back
Top Bottom