Wyatt Mathewson
JF-Expert Member
- Dec 22, 2017
- 10,182
- 24,683
Hongera rodi rofa mm kwangu lugha pekee ninayo thamini ni lugha ya logic basi mambo ya R L H kuchanganya siyo kitu cha msingi
Mkuu
Upo hapa kutetea lugha mbovu?
Lugha mbovu ni kugha mbovu!
Haijalishi sijui kipato chako,lugha yako sio sanifu!
Lugha sanifu haina uhusiano na kipato chako!
By the way:
Rodi Rofa = Lodi Lofa
Sijui shule ulipitia wapi?
Ndio upumbavu huu wa shule za Magufuli