ostrichegg
JF-Expert Member
- Jun 30, 2013
- 12,062
- 6,197
Jengo ndio limebaki lipo. BUNGE liliwahi kuwepo kabla ya enzi za giza la kishetani.Binge lipo kimya sana kama halipo kabisa..
Jengo ndio limebaki lipo. BUNGE liliwahi kuwepo kabla ya enzi za giza la kishetani.Binge lipo kimya sana kama halipo kabisa..
Wabunge wa kupandikiza wamekosa mvuto, ladha kabisazamani watoto walikuwa wanafahamu majinaya mawaziri wa nchi yao na wabunge wote mpaka wanaonyeshwa kwenye TV kuwa wanavipaji.
ila sasa hata mimi ukiniuliza jitu zima sijui hata kuna nani kule bungeni.
Acheni utani Bunge lipi tena wakuu
Mbunge wa milele Kongwa atakusaidia. Siku hizi yambidi kucheza nafasi zote, golikipa yeye mshambuliaji yeye.Kwani
Kwan Mbowe ana kesi mahakani? Mbona mm sijui
Mbowe sio gaidi!Tuelekee moja kwa moja kwenye swali la msingi. Miaka ile bunge lilipokuwa limechangamka ndipo yakaibuliwa maovu ya serikali watu walikuwa wanaahirisha shughuli zao wanafuatilia bunge.
Leo hii sijui bunge halina mvuto, wananchi wanaahirisha shughuli zao wanafuatilia kesi ya akina Mbowe kama tamthiliya.
Hivi wabunge wa CCM mnajisikiaje wananchi hawafuatilii bunge wanafuatilia kesi ya akina Mbowe? Tuseme serikali IPO clear kabisa hakuna madudu ya kuibua wananchi tuyajue?
Zile ahadi za mafiga matatu yaani rais CCM, mbunge CCM, diwani CCM, watendaji wa mitaa CCM, je mbona hatuyaoni Yale mliyoahidi? Majibu tafadhali wabunge wa CCM.
I am vaccinated already against covid 19 and it's associates.Take care Covid 19 ni gonjwa mbaya sana please get vaccine!
hahahahaa Bwashee I mean Covid 19 from unknown Kambi rasmi ya upinzani because not CHADEMA sending them to CCM's meetings!I am vaccinated already against covid 19 and it's associates.
Kwakuwa kenge sii msikivu, pale binadamu anapokuwa sii msikivu haishangazi sana🏃.Tuelekee moja kwa moja kwenye swali la msingi. Miaka ile bunge lilipokuwa limechangamka ndipo yakaibuliwa maovu ya serikali watu walikuwa wanaahirisha shughuli zao wanafuatilia bunge.
Leo hii sijui bunge halina mvuto, wananchi wanaahirisha shughuli zao wanafuatilia kesi ya akina Mbowe kama tamthiliya.
Hivi wabunge wa CCM mnajisikiaje wananchi hawafuatilii bunge wanafuatilia kesi ya akina Mbowe? Tuseme serikali IPO clear kabisa hakuna madudu ya kuibua wananchi tuyajue?
Zile ahadi za mafiga matatu yaani rais CCM, mbunge CCM, diwani CCM, watendaji wa mitaa CCM, je mbona hatuyaoni Yale mliyoahidi? Majibu tafadhali wabunge wa CCM.
Kwanza si kweli kwamba wananchi hawafuatilii Bunge, ndiyo kwanza limeanza. Pili, kesi ya Mbowe inakuja itapita, ni kwa usalama wa nchi isilipuliwe na magaidi. Ni sawa watu wakifuatilia breakingnews kutaka kujua adamoo alilipwa na nani alipue ofisi za chama.Tuelekee moja kwa moja kwenye swali la msingi. Miaka ile bunge lilipokuwa limechangamka ndipo yakaibuliwa maovu ya serikali watu walikuwa wanaahirisha shughuli zao wanafuatilia bunge.
Leo hii sijui bunge halina mvuto, wananchi wanaahirisha shughuli zao wanafuatilia kesi ya akina Mbowe kama tamthiliya.
Hivi wabunge wa CCM mnajisikiaje wananchi hawafuatilii bunge wanafuatilia kesi ya akina Mbowe? Tuseme serikali IPO clear kabisa hakuna madudu ya kuibua wananchi tuyajue?
Zile ahadi za mafiga matatu yaani rais CCM, mbunge CCM, diwani CCM, watendaji wa mitaa CCM, je mbona hatuyaoni Yale mliyoahidi? Majibu tafadhali wabunge wa CCM.
Bro huogopiBunge la Mazuzu
Bunge limedhalilishwa na kupoteza heshima na maana yake kabisa.. Kwasasa ni kama kilinge cha kikundi fulani kisichojitambua kuwa kiko wapi na kinafanya niniTuelekee moja kwa moja kwenye swali la msingi. Miaka ile bunge lilipokuwa limechangamka ndipo yakaibuliwa maovu ya serikali watu walikuwa wanaahirisha shughuli zao wanafuatilia bunge.
Leo hii sijui bunge halina mvuto, wananchi wanaahirisha shughuli zao wanafuatilia kesi ya akina Mbowe kama tamthiliya.
Hivi wabunge wa CCM mnajisikiaje wananchi hawafuatilii bunge wanafuatilia kesi ya akina Mbowe? Tuseme serikali IPO clear kabisa hakuna madudu ya kuibua wananchi tuyajue?
Zile ahadi za mafiga matatu yaani rais CCM, mbunge CCM, diwani CCM, watendaji wa mitaa CCM, je mbona hatuyaoni Yale mliyoahidi? Majibu tafadhali wabunge wa CCM.
Kwani bunge linaendelea sasa hivi? Ndo umenusanua atiTuelekee moja kwa moja kwenye swali la msingi. Miaka ile bunge lilipokuwa limechangamka ndipo yakaibuliwa maovu ya serikali watu walikuwa wanaahirisha shughuli zao wanafuatilia bunge.
Leo hii sijui bunge halina mvuto, wananchi wanaahirisha shughuli zao wanafuatilia kesi ya akina Mbowe kama tamthiliya.
Hivi wabunge wa CCM mnajisikiaje wananchi hawafuatilii bunge wanafuatilia kesi ya akina Mbowe? Tuseme serikali IPO clear kabisa hakuna madudu ya kuibua wananchi tuyajue?
Zile ahadi za mafiga matatu yaani rais CCM, mbunge CCM, diwani CCM, watendaji wa mitaa CCM, je mbona hatuyaoni Yale mliyoahidi? Majibu tafadhali wabunge wa CCM.
Fungua tvccmKwani bunge limeanza ???
Kwani mnataka kuwafananisha na watoa Siri za wateja wao🤸.Bunge limedhalilishwa na kupoteza heshima na maana yake kabisa.. Kwasasa ni kama kilinge cha kikundi fulani kisichojitambua kuwa kiko wapi na kinafanya nini