Kichwa Kichafu
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 44,562
- 188,755
Habari wanamichezo na wapenda soka wote ndani na nje ya Tanzania.
Haya mambo yamekuwa yakijirudia mara kwa mara katika misimu yote ya ligi kuu ya Tanzania kwa sasa 'NBC Premier League' kuhusu lawama kwa Kunguru wetu hawa wa mpira. (Referees)
Tutafute hoja za msingi na mambo yanayoleta yote hayo yote ni kweli hawa Waamuzi wanalipwa vizuri kulingana na kazi yao viwanjani au ni siasa za mpira hadi kwenye malipo.
Naamini hawa watu (Kunguru) ni watu wenye weledi kuhusu kazi hiyo si wapuliza kipenga na watu wa mchongo.
Swali langu kwa wanamichezo na TFF hivi hawa Kunguru wanalipwa vizuri?
Nimetumia neno "Kunguru" maana ndio neno tuliotumia kwa kipindi kirefu sana kipindi cha nyuma, I mean no offense.
Nawasilisha Mzee Mkoloni.
Cc: Kichwa Kichafu.
Haya mambo yamekuwa yakijirudia mara kwa mara katika misimu yote ya ligi kuu ya Tanzania kwa sasa 'NBC Premier League' kuhusu lawama kwa Kunguru wetu hawa wa mpira. (Referees)
Tutafute hoja za msingi na mambo yanayoleta yote hayo yote ni kweli hawa Waamuzi wanalipwa vizuri kulingana na kazi yao viwanjani au ni siasa za mpira hadi kwenye malipo.
Naamini hawa watu (Kunguru) ni watu wenye weledi kuhusu kazi hiyo si wapuliza kipenga na watu wa mchongo.
Swali langu kwa wanamichezo na TFF hivi hawa Kunguru wanalipwa vizuri?
Nimetumia neno "Kunguru" maana ndio neno tuliotumia kwa kipindi kirefu sana kipindi cha nyuma, I mean no offense.
Nawasilisha Mzee Mkoloni.
Cc: Kichwa Kichafu.