Adolf Hitler Jr
JF-Expert Member
- Sep 13, 2016
- 340
- 262
Raisi wa nchini Malawi Bingu Mutharika asababisha foleni kubwa baada ya msafara wake kusimama ili kumuwezesha kwenda kukojoa.
Peter MutharikaRaisi wa nchini Malawi Bingu Mutharika
Chadema bhana!,utawajua tu kwa thread zaoRaisi wa nchini Malawi Bingu Mutharika asababisha foleni kubwa baada ya msafara wake kusimama ili kumuwezesha kwenda kukojoa.
Mkuu ulitaka akojoe ndani ya gari???Raisi wa nchini Malawi Bingu Mutharika asababisha foleni kubwa baada ya msafara wake kusimama ili kumuwezesha kwenda kukojoa.
Bingu wa mutharika si ni RIP. Alafu foleni.hiyo iko wapi? Naona magari yote kama ya msafara. All in All ulinzi ni kama tumerogwa .viongozi wanatakiwa kufanya.wananchi ndio walinzi wao wakuu.
Wanajitangaza wenyewe kinyume na matakwa ya wapiga kura wataachaje kujiwekea ulinzi mkali zaidi ya papa...Bingu wa mutharika si ni RIP. Alafu foleni.hiyo iko wapi? Naona magari yote kama ya msafara. All in All ulinzi ni kama tumerogwa .viongozi wanatakiwa kufanya.wananchi ndio walinzi wao wakuu.
Naunga mkono hojaPengine alibanwa kuharisha, na neno "kukojoa" wametumia kama falsafa ya kupunguza uzito wa shughuli yenyewe.
Kwa ninavyoona hapo alipo porini, tumbo likikata, aise hafiki popote. Maana hua linapiga "miscall" mbili tu, ya tatu ngoma unahisi ishafika kwenye viatu.
A study, published in the British Medical Journal, found that one in ten people who used cannabis before the age of 15 developed schizophrenia by the age of 26. This compared to three per cent of those teenagers who did not use the drug.Chadema bhana!,utawajua tu kwa thread zao
Tumelogwa kwa kujiona miungu watuRaisi wa nchini Malawi Bingu Mutharika asababisha foleni kubwa baada ya msafara wake kusimama ili kumuwezesha kwenda kukojoa.
View attachment 869668
Hauwezi kuona Foleni Mkuu sababu hakuna Gari za Raia zinazo ruhusiwa kuwa karibu na Msafara huo wa Viongozi.
Wanajitangaza wenyewe kinyume na matakwa ya wapiga kura wataachaje kujiwekea ulinzi mkali zaidi ya papa...